Usiuseme Moyo
Umepika chakula huli, huoni chapoa?
Umpweke, mwenye moyo wa duni, twakuita
soledad
Kula dada kwani huyo haji, eti yuko na washikaji
Na akirudi matokeo yake ugomvi hauishi
Uko alipo mbali na upeo wa macho yako
Atafanya baya atakalo bila idhini yako
Unangoja na kusubiri, utasubiri sana
Hatokeo kwako machoni hutomuona mwenzio
Uko na rafiki zako, kwako nyumbani kitako
Mkipeana michapo, huku mkicheka na vicheko
oh
Wawapa habari zako, jinsi bwana anavyokutenda
Hutojua moyo wake, kwani ni vigumu kufungua
moyo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Mmelala ni usiku sana, usiku wa manane
Akili yake kumbe yamuwaza akiwa na mwingine
Milio ya simu na ujumbe mfupi vinazidi kwa
sana
Ukimuuliza bwana kulikoni utaambiwa ni story
Nao moyo wako punde, unaanza kwenda mbio
Mara usiku akuage kuwa anakwenda kutukio
Muulize wapi pande, hatokujibu mwenzio
Mara na siku zingine simu yake iko bize nusu
saa
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Angejali moyo wako, asingekuumiza huyo
Angeacha atendayo ili wewe upate faraja ah
Lakini umuulizapo, juu yeye hukujia
Hathamini chozi lako, na wala halijali hilo lako
pendo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Umpweke, mwenye moyo wa duni, twakuita
soledad
Kula dada kwani huyo haji, eti yuko na washikaji
Na akirudi matokeo yake ugomvi hauishi
Uko alipo mbali na upeo wa macho yako
Atafanya baya atakalo bila idhini yako
Unangoja na kusubiri, utasubiri sana
Hatokeo kwako machoni hutomuona mwenzio
Uko na rafiki zako, kwako nyumbani kitako
Mkipeana michapo, huku mkicheka na vicheko
oh
Wawapa habari zako, jinsi bwana anavyokutenda
Hutojua moyo wake, kwani ni vigumu kufungua
moyo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Mmelala ni usiku sana, usiku wa manane
Akili yake kumbe yamuwaza akiwa na mwingine
Milio ya simu na ujumbe mfupi vinazidi kwa
sana
Ukimuuliza bwana kulikoni utaambiwa ni story
Nao moyo wako punde, unaanza kwenda mbio
Mara usiku akuage kuwa anakwenda kutukio
Muulize wapi pande, hatokujibu mwenzio
Mara na siku zingine simu yake iko bize nusu
saa
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Angejali moyo wako, asingekuumiza huyo
Angeacha atendayo ili wewe upate faraja ah
Lakini umuulizapo, juu yeye hukujia
Hathamini chozi lako, na wala halijali hilo lako
pendo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woh
Credits
Writer(s): Lady Jay Dee
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.