Thamani Ya Wokovu
Thamani ya wokovu wangu
Anayejua ni mwokozi wangu
Sikia
Ngoja nikusimulie
Habari ya kijana mmoja
Kijana mtanashati
Mpole kipenzi cha wengi
Anazo sifa nyingi lakini
Kuu kwake ni upendo
Siku moja alikutana na mwanamke msamaria kisimani
Kijana kamwomba maji
Mwanamke naye kamuuliza
Tangu lini wayahudi na wasamaria tukashikamana
Kijana akamwambia
Ungejua mimi ni maji yaliyo hai
Ungekuja kwangu unywe maji
Ili usiwe na kiu tena
Mimi aliniona nilikokuwa nimechoka,nimechakaa
Kijana kanipenda, kanichukua kanitengenezaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Maisha ni hazina
Iliyo mikononi mwa Mungu
Hakuna ajuaye, salio la siku zake
Ukiona ni mzima leo, hujui kesho itakuwaje
Ndiyo maana nimeona nikukumbushe habari za Yesu
Yeye akikupenda,wala hatoitoi kasoro
Ukimupokea leo anabadili historia yako
Atakuchukua hivyo ulivyo akufanye kiumbe kipya
Hata kama unalia leo jua kesho utacheka
Huyu Mwanaume Yesu ni wa ajabu wala hana mfano wake
Upendo wake ulivyo mkuu kwetu akajiona heri ajitoe
Aliacha enzi na utukufu mbinguni
Akakubali mateso hata kifo cha aibu
Akavuliwa nguo, ili mimi nipone
Akatemewa mate ili mimi niwe huru eh Yeu Eh Yesu
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Anayejua ni mwokozi wangu
Sikia
Ngoja nikusimulie
Habari ya kijana mmoja
Kijana mtanashati
Mpole kipenzi cha wengi
Anazo sifa nyingi lakini
Kuu kwake ni upendo
Siku moja alikutana na mwanamke msamaria kisimani
Kijana kamwomba maji
Mwanamke naye kamuuliza
Tangu lini wayahudi na wasamaria tukashikamana
Kijana akamwambia
Ungejua mimi ni maji yaliyo hai
Ungekuja kwangu unywe maji
Ili usiwe na kiu tena
Mimi aliniona nilikokuwa nimechoka,nimechakaa
Kijana kanipenda, kanichukua kanitengenezaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Maisha ni hazina
Iliyo mikononi mwa Mungu
Hakuna ajuaye, salio la siku zake
Ukiona ni mzima leo, hujui kesho itakuwaje
Ndiyo maana nimeona nikukumbushe habari za Yesu
Yeye akikupenda,wala hatoitoi kasoro
Ukimupokea leo anabadili historia yako
Atakuchukua hivyo ulivyo akufanye kiumbe kipya
Hata kama unalia leo jua kesho utacheka
Huyu Mwanaume Yesu ni wa ajabu wala hana mfano wake
Upendo wake ulivyo mkuu kwetu akajiona heri ajitoe
Aliacha enzi na utukufu mbinguni
Akakubali mateso hata kifo cha aibu
Akavuliwa nguo, ili mimi nipone
Akatemewa mate ili mimi niwe huru eh Yeu Eh Yesu
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Thamani ya Wokovu wangu
Anayejua ni Mwokozi wangu
Gharama ya maisha yangu
Anayejua ni Muumba
Nikisema nimeokokaa
Mbona hamnielewiii
Nikisema nimependwa mie
Mbona mwanishangaaa
Credits
Writer(s): Christina Shusho
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.