Salama

Heieee aaah
Haaaaooo
Mmmmmm
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni sakama rohoni mwangu

Ingawa shetani alinitesa nalijipa moyo kwani
Kristo uliuona unyonge wangu ulikufa kwa roho yangu
Dhambi zangu zote wala si nusu ziliwekwa msalabani
Wala sichukui laana yake ni salama rohon mwangu

Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoniiiiii

Ee Bwana imiza siku ya kuja panda itakapolia
Pale utaposhuka wala sitaogopa Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Kwako salama(salama rohoni)
Kwako salama Yesu(ni salama rohoni mwangu)
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu...



Credits
Writer(s): Angel Benard
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link