Huyu Yesu
mhuuu (haleluya)
huyu yesu si sanamu si mwanada adanganye
ahadi zake zote kweli naaminaa nimemuona
oohh akisema ndio hakuna wa kumpinga akikubaliki hakuna wa kunyang'anya akikuhaidi kwa wakati atimiza anavyokuita ndivyo ulivyo
(huyu yesu huyu yesu si hadithi mwambie (mwambieee))
umetangaziwa nini
umetabiliwa nini maishani mwako mwambie
unaumizwa na nini
je unahofu gani maishani mwako mwambiee
akisema ndio hakuna wa kumpingaa
akikubaliki hakuna wa kunyang'anya
akikuhaidi kwa wakati atimiza
anavyokuita vivyo ulivyooo
huyu yesu huyu yesu si hadithi mwambie
huyu yesu si sanamu si mwanada adanganye
ahadi zake zote kweli naaminaa nimemuona
oohh akisema ndio hakuna wa kumpinga akikubaliki hakuna wa kunyang'anya akikuhaidi kwa wakati atimiza anavyokuita ndivyo ulivyo
(huyu yesu huyu yesu si hadithi mwambie (mwambieee))
umetangaziwa nini
umetabiliwa nini maishani mwako mwambie
unaumizwa na nini
je unahofu gani maishani mwako mwambiee
akisema ndio hakuna wa kumpingaa
akikubaliki hakuna wa kunyang'anya
akikuhaidi kwa wakati atimiza
anavyokuita vivyo ulivyooo
huyu yesu huyu yesu si hadithi mwambie
Credits
Writer(s): Mercy Masika
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.