Mac Muga
Mchizi wa bongo Mac Muga
Yuko single sana Mac Muga
Ukimwona kutwa akijinamia
Kwa sababu ya maisha yamchanganya
Long time mambo alizamia
Na kwenda kusini mwa Africa
Huku pia akimchanua
Kwa sababu ya maisha aliyofuma
Alikuwa maarufu sana
Akajiona yeye ndo winner
Full kujichanganya na wasichana
Club zote za huko kujulikana
Wewe Mac Muga
Wewe wewe Mac Muga
Ah, hii dunia
Mac Muga huruma!
Mungusha Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Mungusha Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Ona sasa amesharejea
Hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi kutwa akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Maisha alichezea
Gari ya kutembelea
Shida walimwelezea wasichana
Na shida zao akawatatulia
Hivi upewe nini Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga
Nymba ulijijengea, full kuchanua
Wewe ndio wewe, wengine fala
Wewe, Mac Muga
Mbona sasa umeshatibua
South Africa wamekutimua
Na sasa home usharejea
Wewe Mac
Mungu akupe nini Mac Muga
Ah, hii dunia
Mac Muga huruma
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Ona sasa amesharejea
Hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi kutwa akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Yikes kana huoni kwa Mac Muga
Roho inauma huruma kanyongo'nyea
Afanye nini sasa cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Yikes kama huoni kwa Mac Muga
Roho inauma huruma kanyongo'nyea
Afanye nini sasa cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Akiwa jambazi gerezani ataishia
Akiwa mwizi anaona atauliwa
Akifikiria kujiua nafsi basi analia
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini mac muga
Aai Ni dunia
Mac muga huruma
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga
Oooh my, dunia Mac muga noma
Mungu akupe ni mac muga
Aaaaah
Mac Muga Noma
Mac muga noma (ooooh)
Baucha records, kuita maisha raha,
Kuna kupanda na kushuka bana mmmh
Eeyoooo (eeyoooo), Mac muga noma ooooh
Yuko single sana Mac Muga
Ukimwona kutwa akijinamia
Kwa sababu ya maisha yamchanganya
Long time mambo alizamia
Na kwenda kusini mwa Africa
Huku pia akimchanua
Kwa sababu ya maisha aliyofuma
Alikuwa maarufu sana
Akajiona yeye ndo winner
Full kujichanganya na wasichana
Club zote za huko kujulikana
Wewe Mac Muga
Wewe wewe Mac Muga
Ah, hii dunia
Mac Muga huruma!
Mungusha Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Mungusha Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Ona sasa amesharejea
Hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi kutwa akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Maisha alichezea
Gari ya kutembelea
Shida walimwelezea wasichana
Na shida zao akawatatulia
Hivi upewe nini Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga
Nymba ulijijengea, full kuchanua
Wewe ndio wewe, wengine fala
Wewe, Mac Muga
Mbona sasa umeshatibua
South Africa wamekutimua
Na sasa home usharejea
Wewe Mac
Mungu akupe nini Mac Muga
Ah, hii dunia
Mac Muga huruma
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Mungu si Athumani alipofika South Africa
Alikuwa na maisha bomba
Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika
Magari na kubwa nyumba
Ona sasa amesharejea
Hajui wapi ataanzia
Hakuna kazi kutwa akajinamia
Mac Muga hii ni dunia
Yikes kana huoni kwa Mac Muga
Roho inauma huruma kanyongo'nyea
Afanye nini sasa cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Yikes kama huoni kwa Mac Muga
Roho inauma huruma kanyongo'nyea
Afanye nini sasa cha kufanya
Kila anachachofanya anaona anakosea
Akiwa jambazi gerezani ataishia
Akiwa mwizi anaona atauliwa
Akifikiria kujiua nafsi basi analia
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini mac muga
Aai Ni dunia
Mac muga huruma
Wewe Mac Muga
Mungu akupe nini Mac Muga
Oooh my, dunia Mac muga noma
Mungu akupe ni mac muga
Aaaaah
Mac Muga Noma
Mac muga noma (ooooh)
Baucha records, kuita maisha raha,
Kuna kupanda na kushuka bana mmmh
Eeyoooo (eeyoooo), Mac muga noma ooooh
Credits
Writer(s): Ali Saleh Kiba
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.