Boomba Train

Tumekuja ku-party, DJ hebu weka tracky
Tukule hepi halafu tufungue sakafu
Sababu inabamba, inashika
Wingu la tisa inatufikisha
Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba
Ah (Uu-wii!)
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba-ah
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba
(Ahhh!)
Karibia, inakubamba
Vipi dada, shake hiyo nanda
Ninaku-touch-touch, usi-relax-lax
Kwenye dance floor, show us your work-work
Unanoki, hauchoki, kwenye dance floor, hautoki
Unahisi hii muziki?
Unahisi Nameless na mimi?

It's Nameless (Ah!)
And E-Sir, in conjunction with Ogopa
Tumekuja kuhakikisha kwamba speaker zinasikika
Hey, you, mister! Are you a member?
Hey, you, sister! Wacha kulenga!
Can't you see that I'm talking to you?
Sasa weka mikono juu!
Ah (Uu-wii!)
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber
(Ahhh!)
(Hello, Nameless, uko fresh lakini?)
Twende
Wewe, yeye, yeye, wewe
Vice versa, vile wataka
Mister, brother, wacha kuzubaa
Ukisleki hautapata
Fungua macho, floor ni yako
Cheza wimbo kama ni wako
Cheza wimbo kama ni wako, sababu huu wimbo ni wako
E-Sir, hatucheki na watu
Nameless, hatucheki na watu
Ma-emcee, hatucheki na watu
Ogopa, hatucheki na watu
Unahisi hizi flow za Africa? (Uh-huh)
Unahisi kama unakatika? (Uh-huh)
Can you feel this, front to the rear? (Uh-huh)
Can you feel this up in here?
Ah (Uu-wii!)
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber
(Ahhh!)
Na tumekuja ku-party, ambia wenzetu, "Samahani"
Hawako nasi, hatuko nao, basi wametupa mbao
Sababu inabamba, inashika
Wingu la tisa inatufikisha
Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba
Ah (Uu-wii!)
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba-ah
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber

(Ah! Ah! Ah! Ah!)
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber
(Ahhh!)



Credits
Writer(s): Brian Nguah
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link