Utatulia
Aye
It's Bonga
Kiangazi masika ukiichanganya
Vyote vikashuka kwangu vitanielemea
Ntakosa pa kushika ntavavanya
Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea
Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri
Fundi mitambo
Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili
Kuchoma changu
Simtaki kafiri jangiri mwingi wa mambo
Moyo akaukatilli
Nikondeshe mwili
Ajifanye Rambo
Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unajua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu pressure
Yanshuka yapanda
Niahidi kama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia ah)
Hmm
Nisibaki nkashika tama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia aah)
Hmm
Wasiniibie cha ngama
Maneno yangu si Biblia wala Masaafu
Useme usibadili (hmm)
Jichunge kipenzi changu
Unanisikia usicheze rafu
Yatimie waliotabiri
Usijifanye Ronaldinho
Penzi utie mbwembwe
Utahaaribu
Visokolokwinyo
Wakupitie denge kukujaribu
Kina Capuchino wakakutia wenge kwa vizabibu
Wakugongeshe mvinyo
Ukaota mapembe iwe aibu
Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu pressure
Yanishuka yapanda
Niahidi kama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia ah)
Hmm
Nisibaki nkashika tama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia ah)
Hmm
Wasiniibie cha ngama
Eeeh eh
Yani kama ukitulia tulia
SItathubutu macho kupepesa
Ukitulia tulia
Ukinipa kiduchu nitatosheka
Kama ukitulia tulia
Sitofwata nguruchu niende teseka
Ukitulia tulia
Eh eh
Nami ntatulia
Oh my God is Better Sound
It's Bonga
Kiangazi masika ukiichanganya
Vyote vikashuka kwangu vitanielemea
Ntakosa pa kushika ntavavanya
Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea
Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri
Fundi mitambo
Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili
Kuchoma changu
Simtaki kafiri jangiri mwingi wa mambo
Moyo akaukatilli
Nikondeshe mwili
Ajifanye Rambo
Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unajua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu pressure
Yanshuka yapanda
Niahidi kama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia ah)
Hmm
Nisibaki nkashika tama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia aah)
Hmm
Wasiniibie cha ngama
Maneno yangu si Biblia wala Masaafu
Useme usibadili (hmm)
Jichunge kipenzi changu
Unanisikia usicheze rafu
Yatimie waliotabiri
Usijifanye Ronaldinho
Penzi utie mbwembwe
Utahaaribu
Visokolokwinyo
Wakupitie denge kukujaribu
Kina Capuchino wakakutia wenge kwa vizabibu
Wakugongeshe mvinyo
Ukaota mapembe iwe aibu
Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu pressure
Yanishuka yapanda
Niahidi kama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia ah)
Hmm
Nisibaki nkashika tama
Utatulia ah
Baby
Niahidi kama (utatulia ah)
Hmm
Wasiniibie cha ngama
Eeeh eh
Yani kama ukitulia tulia
SItathubutu macho kupepesa
Ukitulia tulia
Ukinipa kiduchu nitatosheka
Kama ukitulia tulia
Sitofwata nguruchu niende teseka
Ukitulia tulia
Eh eh
Nami ntatulia
Oh my God is Better Sound
Credits
Writer(s): Lava Lava
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.