Tumepoteza

Ah, I swear to God for my life
That I speak from my heart
Ushawai kupenda
Let me see your hands up
(Classic Music)
Ah, mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani
Mapenzi ya vikwazo mitihani
Kila mmoja anaumia ndani
Tulivyo anza mwanzo sikudhani
Kama yangepotelea hewani
Kwako nilijifunza kupenda
Sikuwa na pumzi ata ya kuhema
Kuwa na wewe mazoea yakajenga
Ukafanya nikuwaze kila sehemu ninayo kwenda
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa handle
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Ah, ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji
Sometimes, hisia zinakudanganya
Unatanga na njia hujui la kufanya
Huwezi kukimbia unacho kipenda sana
Unabaki unaumia, akili inakuchanganya
Tunacheat wakati tunapendana
Tunapendana vipi tusipoaminiana
Mimi na wewe imebaki kuzoeana
Haya sio mapenzi, mapenzi ya kutesana
Mwanga umeingia gizani
Nyota yetu inafifia angani
Ndoto zetu zinaishia njiani
Mapenzi yetu yako mashakani
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tulikuwa hapo
Yako wapi?
Yako wapi yale mapenzi yale, yako wapi?
Yako wapi?
Mimi na wewe tunaenda wapi?
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Tumepoteza!
Tumepoteza mapenzi, tumepoteza
Ule wakati hujui ushike wapi
Unafanya kitu moyo wako hautaki
Kujiuliza maswali, majibu hupati
Niya kutapa tapa kama mfa maji
Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Things ain't gonna be the same again
Mambo yalivyokuwa mimi nawe
Ibaki stori ya kusimulia mapenz
Oooh yeah eeh
Yako wapi? (ooh beiby)
Yako wapi?(yako wapi?)
Yoh yako wapi?(no no no no no)
Yako wapi? (oooh beiby)
(Abbah)



Credits
Writer(s): Ramadhani Thabit Shariff, Maua Sama, Sweetbeth Mwimula
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link