Kwa Msaada Wa Mungu Tunashinda

Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu

Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu

Nashukuru kwa sababu tunaye Baba mwenye huruma
Anayetuhurumia tupitapo kwenye matatizo
Nashukuru kwa sababu tunaye Baba mwenye huruma
Aliyesema tusifadhaike mioyoni mwetu
Asingekua pamoja nasi, nani angekua nasi?
Asingekua mwenye huruma, leo tungekuaje?
Asingetuhurumia Baba, nani angetushindia?
Asingekua mpole Baba, tungeenda kwa nani?
Tupo hivi tulivyo, kwa sababu ya Baba
Tupo hivi tulivyo, kwa sababu ya Mungu
Kwa msaada wa Mungu tunashinda yote, eh

Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu

Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu

Ni Mungu atabaki kuitwa Mungu kwangu
Amenipenda hata mimi, nisiyetazamiwa
Ni Mungu atabaki kuitwa Mungu kwangu
Amenipenda hata mimi, nisiyetazamiwa
Hivi nilivyo mimi leo, ni kwa neema ya Baba
Hivi nilivyo mimi leo, ni kwa neema ya Mungu

Angetazama elimu yangu, ni nani angenichagua
Angetazama wenye pesa, mimi si' chochote
Angetazama elimu yangu, ni nani angenichagua
Angetazama wenye pesa, mimi si' chochote
Nipo hivi nilivyo mimi, kwa neema ya Baba
Nipo hivi nilivyo leo, kwa neema ya Baba
Kwa msaada wake, nashinda yote, eh

Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya Mungu

Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Kwa msaada wa Mungu, tunashinda ya dunia
Tunasonga mbele, kwa sababu ya Mungu
Hatukati tamaa, kwa neema ya MungU
Tunasonga mbele, kwa sababu ya MungU
Hatukati tamaa, kwa neema ya MungU



Credits
Writer(s): Martha Mwaipaja
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link