Chaku

Aaaaaaaaah
Aaaahaaa
Oooohhh

Kukule lome
Mwana nyawe lome
Chakula kalele
Mwana bitoto

Kukule lome (kukule)
Mwana nyawe lome
Chakula kalele
Mwana bitoto

Chakuchaku mama (Oooh ooh)
Chakuchaku beiby (Oooh ooh)
Chakuchaku mama (Oooh ooh)
Chakuchaku sweety nakupenda sana

Chaku unogire mwana
Umeridhi uzuri wa mama
Hilo jicho ukinitazama
Chaku wewe

Hata sina mako na udana
Kwako nimetulizana
Umepata bonge la bwana
Chaku wewe

Hasa posa naleta
Kuruka mabreka
Kizungu unacheda
Mpaka udeka

Hasa posa analeta
Kuruka mabreka
Kizungu unacheda
Mpaka udeka

Kukule lome
Mwana nyawe lome
Chakula kalele
Mwana bitoto

Kukule lome
Mwana nyawe lome
Chakula kalele
Mwana bitoto

Una uzuri wa sura tabia
Hata mama akakusifia
Aah kuwa na wewe
Shaku wewe

Na moyo ukigoda kalia
Utakacho nitakupatia
Aaah wewe ndo my queen
Wa dunia

Na nimezama mazima
Nyebe kauli sina
Isikutishe jina, ujanja sina
Ni kweli ujanja sina

Mimi ni kwako koro(Koro)
Binadamu hakosi kasoro(Kasoro)
Isikutishe jina, ujanja sina
Ukweli ujanja sina

My cherie
Oyebi na linga kayo
Kajaa ntima
Ozawa ngavali bella

My cherie oooh
Oyebi na linga kayo
Na mutema
Ozawa ngavali bella

Hasa posa naleta
Kuruka mabreka
Kizungu unacheda
Mpaka udeka

Hasa posa analeta
Kuruka mabreka
Kizungu unacheda
Mpaka udeka

Kukule lome
Mwana nyawe lome
Chakula kalele
Mwana bitoto

Kukule lome
Mwana nyawe lome
Chakula kalele
Mwana bitoto

Ale Seteke jitoto ancheza anjikuna
Ona John chiba[?] ancheza anajikuna
Sasa na wewe jikune
Jikune jikune...
Sukuma, sukuma
Sukuma sukuma sukuma.



Credits
Writer(s): Ali Saleh Kiba, Christian Bella
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link