Jannah
Mmmhhh Mmhhhh
Oooh Oooh
Ooh Ooh Ooh
Oooh Oooh
Mhhh Mhhh
Mi nikikaa
Nnafikiria
Mambo mazuri mola ulojaalia
Waja wa kheri utayowapatia
Kwenye Jannah
Mi nikikaa
Nnafikiria
Mambo mazuri mola ulojaalia
Waja wa kheri utayowapatia
Kwenye Jannah
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Mazuri sana
Uliotuandalia
Katika Jannah
Pindipo tukiingia ooh oohh
Na ukasema
Sote utatupatia
Tulomwegama
Mtume wetu nabia
Ilahi Karima
Twakuomba sana
Tupe yako Jannah
Firdausi njema
Tuishi daima
Na Tumwa Hashima
Tupate salama
Na zako neema
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Laaalaa
Umeeleza kwenye kitabu chema
Sifa zake hiyo Jannah
Wataishi humo daima waumini
Kisha ukaweka bayana
Umeandaa mambo Adhima
Basi tujitahidi sana
Waumini
Majumba yake
Mazuri yanavutia
Na mito yake
Maziwa asali pia
Na wanawake
Wazuri wa kuvutia
Mfano wake
Hawajawahi tokea
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Ilahi Karima
Twakuomba sana
Tupe yako Jannah
Firdausi njema
Tuishi daima
Na Tumwa Hashima
Tupate salama
Na zako neema
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Laaalaa
Oooh Oooh
Ooh Ooh Ooh
Oooh Oooh
Mhhh Mhhh
Mi nikikaa
Nnafikiria
Mambo mazuri mola ulojaalia
Waja wa kheri utayowapatia
Kwenye Jannah
Mi nikikaa
Nnafikiria
Mambo mazuri mola ulojaalia
Waja wa kheri utayowapatia
Kwenye Jannah
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Mazuri sana
Uliotuandalia
Katika Jannah
Pindipo tukiingia ooh oohh
Na ukasema
Sote utatupatia
Tulomwegama
Mtume wetu nabia
Ilahi Karima
Twakuomba sana
Tupe yako Jannah
Firdausi njema
Tuishi daima
Na Tumwa Hashima
Tupate salama
Na zako neema
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Laaalaa
Umeeleza kwenye kitabu chema
Sifa zake hiyo Jannah
Wataishi humo daima waumini
Kisha ukaweka bayana
Umeandaa mambo Adhima
Basi tujitahidi sana
Waumini
Majumba yake
Mazuri yanavutia
Na mito yake
Maziwa asali pia
Na wanawake
Wazuri wa kuvutia
Mfano wake
Hawajawahi tokea
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Tunakuomba
Mola atupe pepo yako
Tunakuomba
Tupe na ridhaa zako
Ilahi Karima
Twakuomba sana
Tupe yako Jannah
Firdausi njema
Tuishi daima
Na Tumwa Hashima
Tupate salama
Na zako neema
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Oooh ooh ooh ooh Aaah
Laaalaa
Credits
Writer(s): Salim Iddi
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.