Nairobi

Heh? Hehehe
Hmm-haha, maajabu (woo!)
Suda!
Habari mbaya zimenifikia
Mandugu zangu wananikulia
Kumbe sahani yangu ni sinia
Na inaniuma sana

Yule mpenzi niliaminia
Nikamueka mbele ya dunia
I must be trippin' nikikurudia
Umenitesa sana

Nairobi
Yule anakupea, pia ananipea
Akikuletea, ananiletea
Wanakula fare
Sote tuna-share
Ogopa sana
Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea
Akikuletea, ananiletea
Wanakula fare
Sote tuna-share
Ogopa sana, mama

Woi-yoo
Motherfuckers gon' kill me in this bitch, yeah, yeah

Marashi yako yalinivutia
Siku ya kwanza ulipopitia
Kumbe sii mi pekee nilinusia
Yolanda ya Lavender

Na mbogi yangu iliniambia (walini-show)
Eti nikusare but sikusikia (sikusikia)
I don' wanna do this shit no more, my dear
Najuta kupendana

Nairobi (woyo-yoyo)
Yule anakupea, pia ananipea
Akikuletea, ananiletea
Wanakula fare
Sote tuna-share
Ogopa sana
Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea
Akikuletea, ananiletea
Wanakula fare
Sote tuna-share
Ogopa sana, mama

Gonga (gonga) gonga like
Gonga (gonga) gonga like, yeah
Gonga (gonga) gonga like

Okonkwo (gonga)
Yo (gonga like, yeah)
Rieng? (Yeah) Radar?
Siku hizi madem ni blunder
Jana cuzo alimkaza
He's family, ah-ah

Get together kwa bed
Hio story tumekataa
Ma-boy wengine blunder
Watakukulia mama (weh)
Na wakuchekeshe sana

Madame madem, eh (hmm)
Madame wa siku hizi
Wana machali wengi
Nilichapa mmoja juzi
Ikaingia ndani, dive

Nairobi (woyo-yoyo)
Yule anakupea, pia ananipea (yule)
Akikuletea, ananiletea
Wanakula fare
Sote tuna-share
Ogopa sana
Nairobi

Yule anakupea, pia ananipea
Akikuletea, ananiletea
Wanakula fare
Sote tuna-share
Ogopa sana, mama



Credits
Writer(s): Benson Mutua Muia
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link