Hadithi (feat. Mr Mim)

Uliniambia unanipenda sanaa
Nikusaidieee
Roho yako inauma ukinionaaa
Nikuhurumieee
Kwamambo mengi uliniumoza rohoo
Kwa uyaonayoo
Tabia yangu pia ilikuvutia
Ikawa ndo ivyoo
Kama dhumuni ilikuwa ni mapenzi
Kupendana kwa dhati sijakizi
Kuna wazushi na wanafki siku hizi
Kupendana kwa dhati bila ilizi
Nami nadhani ukuniamini
Kwa yangu imani Sema na mimi basi

Nami nadhani ukuniamini
Kwa yangu Imani Sema na mimi basi

Hadithi na hadithi



Credits
Writer(s): Ali Saleh Kiba
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link