Don't Call Me (feat. Pascal Tokodi)

Kama si pesa ukatili buda
Don't call me
Kama ni mradi haina doh
Don't call me

Kama ni ufala sina time buda
Don't call me
Kama si pesa,
Kama si pesa
Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa)
Buda don't call me,
Don't call me

Si jasho imwagike na ninawaks
Naekea bidiii
Business ni pesa
Feelings pelekea bibi

Please usiniombe doh
Tutaharibu urafiki
Believe me
Italeta unafiki

Hustle gang kabla niende
Juu juu kwa baba
Maboy wangu backleft
Wako juu juu ya jaba

Ukigusa pesa yangu buda nitakutendea
Kama sio biz buda bado tembea
Bible inasema I'll prepare
Table waone nikidishi

Rappers wako down
Anamake moves zile mi nawish
Kwa public maselfie, kwa DM matusi
No wonder pesa hubring jealousy na chuki

Kama si pesa ukatili buda
Don't call me
Kama ni mradi haina doh
Don't call me

Kama ni ufala sina time buda
Don't call me
Kama si pesa,
Kama si pesa
Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa)
Buda don't call me,
Don't call me

Na vile nahold notes utadhani niko choir
Acha pesa iongee usidhani niko queit
Mkono iko na paper caps utadhani ni ya mjengo
Hapo nje ya bank ndo nawekaga mtego

Another one
Khalid anajua Kaka ako na key
Energy ni ya servant na jina ni ya king
Hii sio biz namba mteja
Siku hizi league buda major
Chinku nipe moja keja
Alafu cheque pewa

Saa nilikuwa na dondo
Kichwa ilikuwa na cornrows
Four days in a row bro
Inahitaji raho jo
Na hizi sio ma low blow
Wanajua unadeal na top shatta
Bado hauongei pesa, buda shut up

Kama si pesa ukatili buda
Don't call me
Kama ni mradi haina doh
Don't call me
Kama ni ufala sina time buda
Don't call me
Kama si pesa,
Kama si pesa

Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa)
Buda don't call me, don't call me



Credits
Writer(s): Kennedy Otieno Ombima
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link