Yalah

(Ayo, Lizer)

Nimesadiki ya wahenga
Penzi lina raha yake
Mzigo kwa tenga
Kimfaacho mtu chake
Denge nimekatwa ngenga
Ah, umate mate najinyenga nyenga
Mao mao, mao Tate

Huwaga sioni
Ninavyoipanda milima
Ulimi sikioni
Mwili wote wanizizima
Mwenzenu sioni
Macho mawili yote sina
Tunaanza jikoni
Mpaka varandani twalindima, yalah

Yalah yalah
Yalah yalah (ooh)
Yalah yalah
Yalah, yalah
Penzi limenizidia (yalah yalah)
Ni kubwa (yalah yalah)
Nzito (yalah yalah, yalah, yalah)

Tungezaliwa zamani
Ningesema penzi togwa
Tulinywe kibarazani
Tukitafuna maboga

Nimekipanda uani
Kibustani cha uyoga
Tukishiba biryani
Baby, tule mboga mboga

Sasa polisi wa nini?
Nikikosa nikamate wewe
Mahakama ya nini?
Nikikosa nihukumu wewe

Penzi chupa la balindi
Tuligide baby hadi tulewe
Vindege shorwe vya nini?
Kifaranga unibebe weh mwewe

Huwaga sioni
Ninavyoipanda milima
Ulimi sikioni
Mwili wote wanizizima
Mwenzenu sioni
Macho mawili yote sina
Tunaanza jikoni
Mpaka varandani twalindima, yalah

Yalah yalah (yalah yalah)
Yalah yalah (yalah yalah)
Yalah yalah (yalah yalah)
Yalah, yalah

Penzi limenizidia (yalah yalah)
Ni kubwa (yalah yalah)
Nzito (yalah yalah, yalah, yalah)



Credits
Writer(s): Siraju Amani, Mbwana Kilungi
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link