Hakuna Kulala

tunajump kwa juu
uku tunazungumza
kwenye meza mabia umezungusha ili mradi kujichaaaaana maarage sio nyaaama kwa mapele kukunikanika kukushikaashika dada yule kapandisha mizuka na mgongo kupindapinda usikubali wakakushida kwani wao wameweza wana nini hata sis tushindwe tuna nini



Credits
Writer(s): Brian Nguah
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link