Wowowo
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo wo
Uko sexy ma ulivyo sexy ma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo
Ulivyo sexy ma uko sexy ma yeah
Baby girl, you got the shape
You got the hips, you got the booty yeah
Yaani siwezi kuficha mtoto umenidatisha
Ka unafanya kusudi yeah
Sikia, kuanzia juu mpaka chini
Kiukweli umejaaliwa sijaona umekosa nini
Picha yako akilini ndo ishanata
Body flani matata
Nobody than you baby
Mi kwako mateka usije bugi baby
Wasije wakakuteka hao mandezi baby
I'm a player we ndo kocha wa mapenzi baby
I like it when you do that slow slow
Kwa ajili yako nasaka dow
I'll be there for you gal, siwezi kukuzuga
Mi kuwa nawe inawachoma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo wo
Uko sexy ma ulivyo sexy ma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo
Ulivyo sexy ma uko sexy ma yeah
If I gotta do it for you then ntaongeza
Kibubu kilivyo na utamu nakomboleza
Mi sifati upepo nafata unachoelekeza
Japo najua una mashoga kibao watakupoteza
Nikiwaga mbali hua nawaza unanikumbuka kweli
Ukiuliza mi ni kama unaulizia mafuta sheli
Mlaani mwanangu na macho yako
Pozi kiss minato mama umekua pilato
Vyote unavyoniona napitia
Sababu ya mapenzi tu ambayo sijaona fanania
Wakipiga simu tuma text nawakazia
Kwangu namba moja nakuita mama samia
I like it when you do that slow slow
Kwa ajili yako nasaka dow
I'll be there for you gal, siwezi kukuzuga
Mi kuwa nawe inawachoma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo wo
Uko sexy ma ulivyo sexy ma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo
Ulivyo sexy ma uko sexy ma yeah
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo wo
Uko sexy ma ulivyo sexy ma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo
Ulivyo sexy ma uko sexy ma yeah
Baby girl, you got the shape
You got the hips, you got the booty yeah
Yaani siwezi kuficha mtoto umenidatisha
Ka unafanya kusudi yeah
Sikia, kuanzia juu mpaka chini
Kiukweli umejaaliwa sijaona umekosa nini
Picha yako akilini ndo ishanata
Body flani matata
Nobody than you baby
Mi kwako mateka usije bugi baby
Wasije wakakuteka hao mandezi baby
I'm a player we ndo kocha wa mapenzi baby
I like it when you do that slow slow
Kwa ajili yako nasaka dow
I'll be there for you gal, siwezi kukuzuga
Mi kuwa nawe inawachoma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo wo
Uko sexy ma ulivyo sexy ma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo
Ulivyo sexy ma uko sexy ma yeah
If I gotta do it for you then ntaongeza
Kibubu kilivyo na utamu nakomboleza
Mi sifati upepo nafata unachoelekeza
Japo najua una mashoga kibao watakupoteza
Nikiwaga mbali hua nawaza unanikumbuka kweli
Ukiuliza mi ni kama unaulizia mafuta sheli
Mlaani mwanangu na macho yako
Pozi kiss minato mama umekua pilato
Vyote unavyoniona napitia
Sababu ya mapenzi tu ambayo sijaona fanania
Wakipiga simu tuma text nawakazia
Kwangu namba moja nakuita mama samia
I like it when you do that slow slow
Kwa ajili yako nasaka dow
I'll be there for you gal, siwezi kukuzuga
Mi kuwa nawe inawachoma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo wo
Uko sexy ma ulivyo sexy ma
Unanichanganya na lako wo wo wo wo
Unanidatisha wo wo wo wo
Unanichanganya wo wo wo
Ulivyo sexy ma uko sexy ma yeah
Credits
Writer(s): Jonathan Choka
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.