Beer Tam (feat. Visca)
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Niacheni tu nile bata, zama za kale nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko zamani nishaumizwa(Sana)
Niacheni tu nile bata, zama za kale nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko zamani nishaumizwa
Maisha mafupi baby, ukikunja kunja sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usibane bane sana utazikwa nalo
Enjoy life is too short
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Eti baby wangu anivuruge ubongo
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)Weeh! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii!
Nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Eti nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Jamani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Eti nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Mi nishalewa, niko chakari nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, nyaka nyaka nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, sijielewi nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, hapa nitazima nishalewa (Mi nishalewa)
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Eti baby wangu anivuruge ubongo
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)Weeh! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Niacheni tu nile bata, zama za kale nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko zamani nishaumizwa(Sana)
Niacheni tu nile bata, zama za kale nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko zamani nishaumizwa
Maisha mafupi baby, ukikunja kunja sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usibane bane sana utazikwa nalo
Enjoy life is too short
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Eti baby wangu anivuruge ubongo
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)Weeh! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii!
Nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Eti nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Jamani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Eti nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Mi nishalewa, niko chakari nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, nyaka nyaka nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, sijielewi nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, hapa nitazima nishalewa (Mi nishalewa)
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Eti baby wangu anivuruge ubongo
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)Weeh! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu
Beer beer, mitungi beer tamu
Ah! Yii!
Credits
Writer(s): Wz Beat
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.