Kibindoni

Kwenye love niko fofofo
Umenidatisha wewe mtoto
Napiga mbizi maji ya ugoko
Baridi unanipa joto

Oooh baby don't let me go, don't let me go
Aiii najua dhamani yako
Just let me know, just let me know
Mimi sitaki ubaki peke yako mama

Aaah aah aah...
Sitaki wewe kuumia
Aaah aah aah...
Ado ado mama ado ado

Aaah aah aah...
Sitaki wewe kuumia
Aaah aah aah...
Eeeh

Kasura kako kanaumiza roho
Mama mama mama
I've never seen before
Mama mama mama

Kasura kako kanaumiza roho
Mama mama mama
I've never seen before
Mama mama mama

Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni

Yaani kama taa mama
Wewe umenizimaga
Ila, na watu wanashangaa
Kitu gani mi nakupaga

Na mizigo yote nimeshaitua
Nimefika mwisho wa reli Kigoma
Uzuri wako wote wanajua
Mtoto umenyooka kinoma

Aaah aah aah...
Haa wabishe wakatai
Aaah aah aah...
Hayani mi nyanya nyanya

Aaah aah aah...
Sijiwezi mama sijiwezi
Aaah aah aah...

Kasura kako kanaumiza roho
Mama mama mama
I've never seen before
Mama mama mama

Kasura kako kanaumiza roho
Mama mama mama
I've never seen before
Mama mama mama

Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni

Wacha wakukodolee macho
Wakukodolee macho
Wacha wakukodolee macho
Wakukodolee macho

Wacha wakukodolee macho
Wakukodolee macho
Wacha wakukodolee macho
Wakukodolee macho

Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni
Iko kibindoni waite, kibindoni



Credits
Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Juma Mussa Mkambala
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link