Move On
Bye bye ndio neno langu nimekuswafia
Kuondoka ndio nusura yangu kuliko kukumbatia
Sababu nakupenda unajua siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua, nimeridhika na kibuti
Penzi furaha, penzi jeraha
Usijeokota umauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Amini niko tima
Kinitokacho kinywani si haramu
Na mi ni binadamu
Haya maumivu kwa damu
Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on, move on
Maana sili hata na usiku silali
Ah najiuliza nini hiki wamekishindwa madakitari
Ah najitedi simama siwezi, mtoto rudi kwa mama
Ashalala simama penzi limenikill nyakanyaka
Ah labda walitaka kuniua
Ama nilikosea kuchagua
Aya kushona mi nikatatua
Asa ndo picha limeungua
Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on
Ah labda walitaka kuniua, kuniua
Haya maumivu kwa damu
Kuondoka ndio nusura yangu kuliko kukumbatia
Sababu nakupenda unajua siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua, nimeridhika na kibuti
Penzi furaha, penzi jeraha
Usijeokota umauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Amini niko tima
Kinitokacho kinywani si haramu
Na mi ni binadamu
Haya maumivu kwa damu
Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on, move on
Maana sili hata na usiku silali
Ah najiuliza nini hiki wamekishindwa madakitari
Ah najitedi simama siwezi, mtoto rudi kwa mama
Ashalala simama penzi limenikill nyakanyaka
Ah labda walitaka kuniua
Ama nilikosea kuchagua
Aya kushona mi nikatatua
Asa ndo picha limeungua
Sababu nakupenda unajua
Siwezi fanya tofauti
Naona nguo zishakauka anua
Nimeridhika na kibuti
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya nimemove on
Si kwa ubaya ah nimemove on
Ah labda walitaka kuniua, kuniua
Haya maumivu kwa damu
Credits
Writer(s): Ismail Mandoti
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.