Maliza Na Pombe

Leo namaliza na pombe
Nataka nimalize na pombe
Leo namaliza na pombe
Nataka nimalize na pombe

Nimekuwa na siku mbaya (Eeh siku mbaya)
Mfuko economy mbaya (Economy mbaya)
Morio ashavuta waya (Ashavuta waya)
Na anadai ako ganji mbaya (Ako ganji mbaya)

Leo nakunywa vile mi huwakunywa (Kunywa)
Pesa inaniwasha najikuna
Nyama kwa nyama hapo Njuguna's
Haibambi, I'm not boarding ka Miguna

Hey is it true niliona IG
Niko na form nishow ID
She said am between 18 and 24
Nikamshow mi huwaka na kina Joe Muchiri

Basi twende hivi 1824 Pombe tu sigara niliachia kina Nviiri
Si wewe ndo huniitaga kang Kaka
Naona unanizaa basi leo utanipata

Nimekuwa na siku mbaya (Eeh siku mbaya)
Mfuko economy mbaya (Economy mbaya)
Morio ashavuta waya (Ashavuta waya)
Na anadai ako ganji mbaya (Ako ganji mbaya)

Leo namaliza na pombe (Maliza na pombe)
Nataka nimalize na pombe (Maliza na pombe)
Leo namaliza na pombe (Maliza na pombe)
Nataka nimalize na pombe (Maliza na pombe)

Waiter leta maji mingi
Nimeanza kupeana masiri
Nimeanza kupandwa na mafeelings
Nafuata fuata kila mini

Huyo ako 20 ama hamsini
Zile vitu naona aki siamini
Zile vitu nafanya sio mimi
Forgive me

Yeah I'm so curious ka uko serious
Nipe confirmation
Uber vile inakimbizwa manze wasitupitishe
Hizi ni zile tam critical, silali mpaka kesho
Pombe ni temptation kuanza vacation

Nimekuwa na siku mbaya (Eeh siku mbaya)
Mfuko economy mbaya (Economy mbaya)
Morio ashavuta waya (Ashavuta waya)
Na anadai ako ganji mbaya (Ako ganji mbaya)

Leo namaliza na pombe
Nataka nimalize na pombe
Leo namaliza na pombe
Nataka nimalize na pombe

Toka toka haraka, toka haraka
Easy tupende anasa
Toka toka haraka, toka haraka
Easy tupende anasa

Toka toka haraka, toka haraka
Easy tupende anasa
Toka toka haraka, toka haraka
Easy tupende anasa



Credits
Writer(s): Kennedy Otieno Ombima
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link