Mdananda
Dhahabu records (yeah iih yeah hii)
Records (ha aah haa aah)
Hiye eeh eeh eeh
Nimeamini apangalo mola
Huwezi pangua yeye ndiye anaejua
Yaani ningejua jinsi alivyokuwa
Nisinge jisumbua kumchukua
Ubaya sitaki (twende)
Dhihaki (kweli)
Si rafiki (ubaya sitaki)
Nasema sitaki (sitaki), kubaki
Mnafiki, rafiki gani mdananda
Anapenda ku-bang
Hanakazi huyu jamaa
Na mastaa kadhaa
Wenye jina ndani ya Dar
Si nikajaa mi mzawa wa Dar
Nikaachwa kwenye mataa
Nashaanga na maseke nimezidiwa mang'aa
Mashaka yalikuwa kando (ahaa)
Nilihisi mchizi bonge la mwana (haaa)
Kumbe mgambo
Vitani hawezi kushika zana
Aah! Kweli kufa kufaana
Nimeamini ya leo sio ya jana
(Kweli ya leo sio...)
Vizuri kufa na ujana
Ila life ya Dunia ni tamu sana
Hizo sekunde na dakika
Bora ningerudi nyuma
Niwe bonge la bitozi
Hata salamu ningeuchuna
Mbio zimegonga ukuta
Kusanuka kisha nuka
Na matuta nimeruka nimeanguka
Siwezi tena nyanyuka
Ata ata shabaa
Alinitonya wewe ni rafiki Bar
Nikapuuza kwa kujawa na mzaa wa kitaa
Ghetto la dastamina pia nikalikataa
Nilihisi kama nabanwa (kweli nilitoswa...)
Wewe niliyekulea ukiumia nafeel pain
Mtetezi juu yako kama jeshi la UN
Ulidaiwa sikusita kukulipia madeni
Leo iweje uniingize mkengeni
Nimeamini apangalo mola
Huwezi pangua yeye ndiye anayejua
Ningejua jinsi alivyo kuwa
Nisingejisumbua kumchukua
Ubaya sitaki (twende)
Dhihaki (wee) si rafiki
Ubaya sitaki
Nasema sitaki ubaki
Mnafiki, rafiki gani mdananda?
Nilikuwa ndani ya ghetto
Na settle mipango ya kesho
Mara ring ring, kucheki alikuwa mwana
Story ilikuwa hivi nanukuu michapo
Mwanangu sio siri unazari la mentally
Kuna binti mtaa wa pili anadai anakukubali
Anasema nyimbo zako unajua panga mistari
Tajiri hatari wacha tuchume mali
Isitoshe anafiga matata hana dosari
Leo leo ukienda atakuhonga hata gari
Kifupi sijajivunga na pozi zilikimbia
Ulofa nilionao mnyamwezi nikajitupia
Upendo kasi kama goli la First
Tuliishi kwenye bangalo
Sio nyumba za guest
Shida nilishinda hata kwa manji navimba
Kumbe nimepewa goma limepigwa sindimba
Yule dada ni muathirika nilitumika bila kinga
Na mchizi alishajua na potimba nachinjwa
Hee, hee, heee
Heee heee hee
Nimeamini apangalo mola
Hawezi pangua yeye ndiye naejua
Ningejua jinsi alivyo kuwa
Nisingejisumbua kumchukua
Ubaya sitaki (twende)
Dhihaki (heee ehe) si rafiki
Ubaya sitaki
Nasema sitaki (sitaki) ubaki
Unafiki, rafiki gani mdananda
Mamamamamma
Nisingejisumbua kabisa
Yeah eeh eeh
Demu hafai iiih
Dastamina aaeeeeh
Dastamina, dastamina
Demu hafai
Dastamina
Eeh demu hafai
Records (ha aah haa aah)
Hiye eeh eeh eeh
Nimeamini apangalo mola
Huwezi pangua yeye ndiye anaejua
Yaani ningejua jinsi alivyokuwa
Nisinge jisumbua kumchukua
Ubaya sitaki (twende)
Dhihaki (kweli)
Si rafiki (ubaya sitaki)
Nasema sitaki (sitaki), kubaki
Mnafiki, rafiki gani mdananda
Anapenda ku-bang
Hanakazi huyu jamaa
Na mastaa kadhaa
Wenye jina ndani ya Dar
Si nikajaa mi mzawa wa Dar
Nikaachwa kwenye mataa
Nashaanga na maseke nimezidiwa mang'aa
Mashaka yalikuwa kando (ahaa)
Nilihisi mchizi bonge la mwana (haaa)
Kumbe mgambo
Vitani hawezi kushika zana
Aah! Kweli kufa kufaana
Nimeamini ya leo sio ya jana
(Kweli ya leo sio...)
Vizuri kufa na ujana
Ila life ya Dunia ni tamu sana
Hizo sekunde na dakika
Bora ningerudi nyuma
Niwe bonge la bitozi
Hata salamu ningeuchuna
Mbio zimegonga ukuta
Kusanuka kisha nuka
Na matuta nimeruka nimeanguka
Siwezi tena nyanyuka
Ata ata shabaa
Alinitonya wewe ni rafiki Bar
Nikapuuza kwa kujawa na mzaa wa kitaa
Ghetto la dastamina pia nikalikataa
Nilihisi kama nabanwa (kweli nilitoswa...)
Wewe niliyekulea ukiumia nafeel pain
Mtetezi juu yako kama jeshi la UN
Ulidaiwa sikusita kukulipia madeni
Leo iweje uniingize mkengeni
Nimeamini apangalo mola
Huwezi pangua yeye ndiye anayejua
Ningejua jinsi alivyo kuwa
Nisingejisumbua kumchukua
Ubaya sitaki (twende)
Dhihaki (wee) si rafiki
Ubaya sitaki
Nasema sitaki ubaki
Mnafiki, rafiki gani mdananda?
Nilikuwa ndani ya ghetto
Na settle mipango ya kesho
Mara ring ring, kucheki alikuwa mwana
Story ilikuwa hivi nanukuu michapo
Mwanangu sio siri unazari la mentally
Kuna binti mtaa wa pili anadai anakukubali
Anasema nyimbo zako unajua panga mistari
Tajiri hatari wacha tuchume mali
Isitoshe anafiga matata hana dosari
Leo leo ukienda atakuhonga hata gari
Kifupi sijajivunga na pozi zilikimbia
Ulofa nilionao mnyamwezi nikajitupia
Upendo kasi kama goli la First
Tuliishi kwenye bangalo
Sio nyumba za guest
Shida nilishinda hata kwa manji navimba
Kumbe nimepewa goma limepigwa sindimba
Yule dada ni muathirika nilitumika bila kinga
Na mchizi alishajua na potimba nachinjwa
Hee, hee, heee
Heee heee hee
Nimeamini apangalo mola
Hawezi pangua yeye ndiye naejua
Ningejua jinsi alivyo kuwa
Nisingejisumbua kumchukua
Ubaya sitaki (twende)
Dhihaki (heee ehe) si rafiki
Ubaya sitaki
Nasema sitaki (sitaki) ubaki
Unafiki, rafiki gani mdananda
Mamamamamma
Nisingejisumbua kabisa
Yeah eeh eeh
Demu hafai iiih
Dastamina aaeeeeh
Dastamina, dastamina
Demu hafai
Dastamina
Eeh demu hafai
Credits
Writer(s): Shetta
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.