Upendo
Aah Ahh ahh
Jehova aah
Aah Ahh Ahh
Elshadai
Katika amri za Mungu upendo ni namba moja
Katika sifa zake upendo pia upo ndani yake
Alimtoa mwanaye ili mi nawe tuokolewe
Anakupenda Ananipenda aa
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni ninyi kwa ninyi
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni asema Bwana
Sote
Tupendane Tupendane Tupendane sote niwamoja
Tupendane Tupendane ee Tupendane sote nikitu kimoja
Kuna wanaojua siri ya upendo
Kuna wasiojua thamani ya upendo
Kuna wanaojua siri ya upendo
Kuna wasiojua thamani ya upendo
Upendo niagizo toka kwa Mungu
Upendo ukipenda waongezewa
Upendo niagizo toka kwa Mungu
Upendo ukipenda waongezewa
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni ninyi kwa ninyi
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni asema Bwana
Sote
Tupendane
Tupendane e e e
Tupendane
Ooh uwoo oo
Tupendane sote niwamoja
Tupendane
Tupendane
Tupendane
Aah
Sote ni wamoja wamoja
Tupendane sote nikitu kimoja
Ee ee eeh
Ee ee eeh
Ee ee eeh
Upendo unanguvu mahali popote
Ee ee eeh
Ee ee eeh
Upendo wahuwisha upendo wainua
Jehova aah
Aah Ahh Ahh
Elshadai
Katika amri za Mungu upendo ni namba moja
Katika sifa zake upendo pia upo ndani yake
Alimtoa mwanaye ili mi nawe tuokolewe
Anakupenda Ananipenda aa
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni ninyi kwa ninyi
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni asema Bwana
Sote
Tupendane Tupendane Tupendane sote niwamoja
Tupendane Tupendane ee Tupendane sote nikitu kimoja
Kuna wanaojua siri ya upendo
Kuna wasiojua thamani ya upendo
Kuna wanaojua siri ya upendo
Kuna wasiojua thamani ya upendo
Upendo niagizo toka kwa Mungu
Upendo ukipenda waongezewa
Upendo niagizo toka kwa Mungu
Upendo ukipenda waongezewa
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni ninyi kwa ninyi
Kuna amani kwenye upendo
Kuna faraja kwenye upendo
Kuna maelewano kwenye upendo
Hivyo pendaneni asema Bwana
Sote
Tupendane
Tupendane e e e
Tupendane
Ooh uwoo oo
Tupendane sote niwamoja
Tupendane
Tupendane
Tupendane
Aah
Sote ni wamoja wamoja
Tupendane sote nikitu kimoja
Ee ee eeh
Ee ee eeh
Ee ee eeh
Upendo unanguvu mahali popote
Ee ee eeh
Ee ee eeh
Upendo wahuwisha upendo wainua
Credits
Writer(s): Elton Mwakisyombe
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.