Adelle Hello Cover
Heloo
Mimiii
Nauliza kama tunaweza kutana
Ni long time nakukosa sana
Na kama hutaki nitaelewa
Maana sio rahisi
Kwani hata mimi
Nafsi inanisuta
Heloo
Je unanipata
Muda ujakipoza kidonda change
Bado nakiuguza
Na niko bondeni
Huku kumbukumbu zimenitanda
Tulivoshibana ujanani
Kama ilivyotokea
Heloo toka mjii huu
Ooh kinachoniudhi uwa napiga simu
Nikueleze najuta
Kukutenda
Ila nikipiga ushiki
Nahisi kama unanikwepanga
Heloo toka mjii huu
Ooh angalau unaezasema nimejaribu
Kukueleza najuta kuumiza moyo wako
Ila ni kama
Inamaana maana ni wazi
Ujanitenda
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Heloo
Uhali gani
Natumai uko salama
Je uliweza kuhama ule mtafsira nadii
Heloo
Ivi ushawaiwa
Maana mi ningali mpweke
Nashindwa kuanza tena
Tatizo mazoea
Moyoni mwangu alama uliwacha
Nakuwaza,
Je unaniwaza
Ama tama kwangu ulishakataa
Moyoni mwangu alama uliwacha
Nakuwaza
Je unaniwaza
Ama tama kwangu ulishakataa
Heloo toka mjii huu
Ooh kinachoniudhi uwa napiga simu
Nikueleze najuta
Kukutenda
Ila nikipiga ushiki
Nahisi kama unanikwepanga
Heloo toka mjii huu
Ooh angalau unaezasema nimejaribu
Kukueleza najuta kuumiza moyo wako
Ila ni kama
Inamaana maana ni wazi
Ujanitenda
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Mimiii
Nauliza kama tunaweza kutana
Ni long time nakukosa sana
Na kama hutaki nitaelewa
Maana sio rahisi
Kwani hata mimi
Nafsi inanisuta
Heloo
Je unanipata
Muda ujakipoza kidonda change
Bado nakiuguza
Na niko bondeni
Huku kumbukumbu zimenitanda
Tulivoshibana ujanani
Kama ilivyotokea
Heloo toka mjii huu
Ooh kinachoniudhi uwa napiga simu
Nikueleze najuta
Kukutenda
Ila nikipiga ushiki
Nahisi kama unanikwepanga
Heloo toka mjii huu
Ooh angalau unaezasema nimejaribu
Kukueleza najuta kuumiza moyo wako
Ila ni kama
Inamaana maana ni wazi
Ujanitenda
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Heloo
Uhali gani
Natumai uko salama
Je uliweza kuhama ule mtafsira nadii
Heloo
Ivi ushawaiwa
Maana mi ningali mpweke
Nashindwa kuanza tena
Tatizo mazoea
Moyoni mwangu alama uliwacha
Nakuwaza,
Je unaniwaza
Ama tama kwangu ulishakataa
Moyoni mwangu alama uliwacha
Nakuwaza
Je unaniwaza
Ama tama kwangu ulishakataa
Heloo toka mjii huu
Ooh kinachoniudhi uwa napiga simu
Nikueleze najuta
Kukutenda
Ila nikipiga ushiki
Nahisi kama unanikwepanga
Heloo toka mjii huu
Ooh angalau unaezasema nimejaribu
Kukueleza najuta kuumiza moyo wako
Ila ni kama
Inamaana maana ni wazi
Ujanitenda
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo heloo
Credits
Writer(s): Adele Laurie Blue Adkins, Gregory Allen Kurstin
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.