Kadadaa
Uuuh turururuuruu rururuu ruruuuuu!
Nakosa raha, kila ninachofanya unakataa!
Kutwa karaha, wangu Mollah niepushe na mabalaa!
Aah hivi mi nilikosa nini Habibty sema!
Utulie kwangu nikuvishe Pete chanda chema!
Napenda kupendwa sana, we usijenikana!
Mi nishatendwa sana, usiniache bwana!
Aah kweli vijana wengi wa sasa wanadanganya!
Lengo wakuvuruge tu ka-danadana!
We ndio unanifaa we unanifaa changu kifaa!
Basi we nipe raha we nipe raha mie mateka!
Rahaa!
Sijui ni nini madrashki vitimbwi yaani kila kitu!
Baki na mimi nikupe penzi ujinga sithubutu!
Mpenzi unanionea kutwa kukicha sili silali mawazo!
Mi nalia milima mabonde mi kwangu vikwazo!
Ah mapenzi mapenzi yanaumiza moyoni!
Mwenzako siwezi mbele Kiza sioni!
Aah kweli vijana wengi wa sasa wanadanganya!
Lengo wakuvuruge tu ka-danadana!
We ndio unanifaa we unanifaa changu kifaa!
Basi we nipe raha we nipe raha mie mateka!
Rahaa
Shuruba shuruba nibalaa!
kwanini wafanya mwenzako nachakaa!
We nipoze ka-moyo Kadadaa!
Kuwa na moyo wa huruma usije kukataa!
Shuruba shuruba ni balaa!
We nipoze kamoyo Kadadaa!
Ha ha ha!
Ya dun know!
Nakosa raha, kila ninachofanya unakataa!
Kutwa karaha, wangu Mollah niepushe na mabalaa!
Aah hivi mi nilikosa nini Habibty sema!
Utulie kwangu nikuvishe Pete chanda chema!
Napenda kupendwa sana, we usijenikana!
Mi nishatendwa sana, usiniache bwana!
Aah kweli vijana wengi wa sasa wanadanganya!
Lengo wakuvuruge tu ka-danadana!
We ndio unanifaa we unanifaa changu kifaa!
Basi we nipe raha we nipe raha mie mateka!
Rahaa!
Sijui ni nini madrashki vitimbwi yaani kila kitu!
Baki na mimi nikupe penzi ujinga sithubutu!
Mpenzi unanionea kutwa kukicha sili silali mawazo!
Mi nalia milima mabonde mi kwangu vikwazo!
Ah mapenzi mapenzi yanaumiza moyoni!
Mwenzako siwezi mbele Kiza sioni!
Aah kweli vijana wengi wa sasa wanadanganya!
Lengo wakuvuruge tu ka-danadana!
We ndio unanifaa we unanifaa changu kifaa!
Basi we nipe raha we nipe raha mie mateka!
Rahaa
Shuruba shuruba nibalaa!
kwanini wafanya mwenzako nachakaa!
We nipoze ka-moyo Kadadaa!
Kuwa na moyo wa huruma usije kukataa!
Shuruba shuruba ni balaa!
We nipoze kamoyo Kadadaa!
Ha ha ha!
Ya dun know!
Credits
Writer(s): Shabani Shabani
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.