Siwezi

I know that you deserve some more

Anything that you are baby you should let me know
You know that ukinitenda utaniumiza roho
Maana si unajua we ndo kipenda roho
Kuwe kuna mvua jua we baki hapa kando yangu
Iwe shibe njaa basi nile nawe kama kuna huzuni karaha
We ndo faraja yangu siku za furaha naenjoy nawe

Why why why nikulize Why why why nikulize
Why why why nikulize Why why why nikulize

Siwezi kukuacha wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe
Siwazi kuachana wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe

Umenifanya niwaze ningewezaje dunia bila uwepo wako aah
Umenifanya nijiulize je ningeenjoy hii dunia nisingekuwa wako
You're the one i have bbeen waiting for asali yaa moyo wangu
Faraja yangu iliyomo ndani yangu kwenye ini yako

Why why why nikulize Why why why nikulize
Why why why nikulize Why why why nikulize

Siwezi kukuacha wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe
Siwazi kuachana wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe



Credits
Writer(s): Omary Ally Mwanga
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link