Sawa
Jay, once again (Ney)
Mapenzi tu, nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali, namuwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu, ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali, mi nailamba tu
Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa
Sawa
Sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa
(Right) sawa
(Ah) sawa
Huo utamu hasa nikiingia, akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya ku change idea, hapo-hapo nime mng'ang'ania
Hapo-hapo nimeshikilia na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa
Sawa
Sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa
(Right) sawa
(Ah) sawa
Mapenzi tu, nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali, namuwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu, ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali, mi nailamba tu
Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa
Sawa
Sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa
(Right) sawa
(Ah) sawa
Huo utamu hasa nikiingia, akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya ku change idea, hapo-hapo nime mng'ang'ania
Hapo-hapo nimeshikilia na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma
Basi mwambieni nampenda
Sawa
Sawa
Sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa
(Right) sawa
(Ah) sawa
Credits
Writer(s): Peter Mwangi Mwitii, Ally Mohamed Juma, Sharif Said Juma
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.