Sawa

Jay, once again (Ney)

Mapenzi tu, nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali, namuwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu, ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali, mi nailamba tu

Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda
Sawa
Sawa
Sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa
(Right) sawa
(Ah) sawa

Huo utamu hasa nikiingia, akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya ku change idea, hapo-hapo nime mng'ang'ania
Hapo-hapo nimeshikilia na visokorokwinyo mtaumia, naahaa

Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua

Na penzi letu ni kama sunna, na ulinzi kama suma
Hata akinuna, bado unapendeza mchumba
Nkimuona ananichuna, msinioneye huruma
Cha mtu huliwa na mtu, kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda
Sawa
Sawa
Sawa
Anh, mwambieni nampenda
(Yes) sawa
(Right) sawa
(Ah) sawa



Credits
Writer(s): Peter Mwangi Mwitii, Ally Mohamed Juma, Sharif Said Juma
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link