Tuna Kikao (feat. Diamond Platnumz)
Sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, hatujaja kushangaa
We zombie
Haujui
Mimi samba na masimba dangotee eeh
Love bite
Ninja kong fuu master (aah master)
Sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng'aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Wazee wa nyumba tutajenga mwakani (ndo zetu)
Kwanza heshima mezani (ndo zetu)
Kikubwa ghetto na bebe iwe ndani (ndo zetu)
Na mama ale nyumbani
Tukizikosa kitongo ganda la ndizi
Tukizipata ndo maboss (matumizi)
Tukiwa bwii kuhonga (ving'ang'anizi)
Tunatakaga ile kitu (ya uzinzi)
Jamani sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng'aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Eeeh eeeh
Mishoti tu zoyogo ndo chini nyan' ganyang'a
Na ukinchekea kidogo aah umetafunwa bwana
Eeh kushoto na zombie kulia tosi
Ni mwendo wamonde na misosi
Ikukushinda chonde usijifosi
Sie mpaka ligonge la utosi
Eti nilale, nimlaie nani
Wakati pesa nimeshika ukubwani
Nilaale, kwa usingizi gani
Wakati umaarufu nimeupatia ukubwani
Na wakiutaka motoo moto nawatembezea wa kifuu
Oosh kamata mutoto ghetto kifo cha nende
Miguu juu
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Jamani sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng'aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Eeeh eeeh
Kama nikinywa mi nakukera shauri zako (shauri zako)
Kwani mifigo si ya kwangu mimi au ya kwako (au ya kwako)
Kwani natumia ya kwangu hela au ya kwako (au ya kwako)
Mtoto wa kiume punguza shobo utashikwa taa (aaaahh)
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Jamani sisi ni wa
Tunatumia hela, hatujaja kushangaa
We zombie
Haujui
Mimi samba na masimba dangotee eeh
Love bite
Ninja kong fuu master (aah master)
Sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng'aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Wazee wa nyumba tutajenga mwakani (ndo zetu)
Kwanza heshima mezani (ndo zetu)
Kikubwa ghetto na bebe iwe ndani (ndo zetu)
Na mama ale nyumbani
Tukizikosa kitongo ganda la ndizi
Tukizipata ndo maboss (matumizi)
Tukiwa bwii kuhonga (ving'ang'anizi)
Tunatakaga ile kitu (ya uzinzi)
Jamani sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng'aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Eeeh eeeh
Mishoti tu zoyogo ndo chini nyan' ganyang'a
Na ukinchekea kidogo aah umetafunwa bwana
Eeh kushoto na zombie kulia tosi
Ni mwendo wamonde na misosi
Ikukushinda chonde usijifosi
Sie mpaka ligonge la utosi
Eti nilale, nimlaie nani
Wakati pesa nimeshika ukubwani
Nilaale, kwa usingizi gani
Wakati umaarufu nimeupatia ukubwani
Na wakiutaka motoo moto nawatembezea wa kifuu
Oosh kamata mutoto ghetto kifo cha nende
Miguu juu
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Jamani sisi ni walevi, tunakesha bar
Tunatumia hela, mpaka jua lianze ng'aa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeh tupishe bwana (wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (tuna kikao)
Tupishe bwana (tuna kikao)
Eeeh (tuna kikao)
Eeeh eeeh
Kama nikinywa mi nakukera shauri zako (shauri zako)
Kwani mifigo si ya kwangu mimi au ya kwako (au ya kwako)
Kwani natumia ya kwangu hela au ya kwako (au ya kwako)
Mtoto wa kiume punguza shobo utashikwa taa (aaaahh)
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Jamani sisi ni wa
Credits
Writer(s): Idd Abdul Juma
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
All Album Tracks: Tuna Kikao (feat. Diamond Platnumz) - Single >
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.