I Wish
I wish ungejua vile uko moyoni baby
I wish ungejua nnavyo kupenda
I wish ungejua vile sioni sisikii
I wish ungejua aah ooh my love
We ndo pepo yangu (pepoo)
Ndo kidani kwa shingo nikuvae
We ndo tamu yangu
Nipo radhi mimi nizikwe na wewe
Nawe ndio msiri wangu (ooh)
Tena nnje ndani unijuae
Dunia ingekua yangu tungebaki wawili mimi na wewe
Ahh ahh ahh nakupenda
Ahh ahh ahh nakupenda
Mi ndo mwenye mapenzi yako nipoke
Penzi furaha nicheke
Nikiteleza nisamehe
Ooh my Darling
Nitalipigania penzi kidete
Sogea karibu tutetе
We ndo Chanda mi pete aahaa
Uuh jamani
Yako mahaba kama jini jini
Bila kitеzo wala ubani na panda mimi
Unavyo nichezesha makirikiri
Nabaki ooh jamani
Nawe ndio msiri wangu
Tena nnje ndani unijuae
Dunia ingekua yangu tungebaki wawili mimi na wewe
Ahh ahh ahh nakupenda
Ahh ahh ahh nakupenda
Uuh ye yee
Wewe ni wangu ni wangu
Kwa mboni nakuona wewe tu
Wewe ni wangu ni wangu
I love you, I love you Baby
Wewe ni wangu ni wangu
Hata wakisema nini sikuachi
Wewe ni wangu ni wangu
I love you, I love you
Ohh jamani
I wish ungejua nnavyo kupenda
I wish ungejua vile sioni sisikii
I wish ungejua aah ooh my love
We ndo pepo yangu (pepoo)
Ndo kidani kwa shingo nikuvae
We ndo tamu yangu
Nipo radhi mimi nizikwe na wewe
Nawe ndio msiri wangu (ooh)
Tena nnje ndani unijuae
Dunia ingekua yangu tungebaki wawili mimi na wewe
Ahh ahh ahh nakupenda
Ahh ahh ahh nakupenda
Mi ndo mwenye mapenzi yako nipoke
Penzi furaha nicheke
Nikiteleza nisamehe
Ooh my Darling
Nitalipigania penzi kidete
Sogea karibu tutetе
We ndo Chanda mi pete aahaa
Uuh jamani
Yako mahaba kama jini jini
Bila kitеzo wala ubani na panda mimi
Unavyo nichezesha makirikiri
Nabaki ooh jamani
Nawe ndio msiri wangu
Tena nnje ndani unijuae
Dunia ingekua yangu tungebaki wawili mimi na wewe
Ahh ahh ahh nakupenda
Ahh ahh ahh nakupenda
Uuh ye yee
Wewe ni wangu ni wangu
Kwa mboni nakuona wewe tu
Wewe ni wangu ni wangu
I love you, I love you Baby
Wewe ni wangu ni wangu
Hata wakisema nini sikuachi
Wewe ni wangu ni wangu
I love you, I love you
Ohh jamani
Credits
Writer(s): Haitham Ghazal Seif, Haitham Kim
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.