Umechelewa

Ulikuwa wapi wakati nalia lia na mapenzi
Ulikuwa wapi wakati silali nakosa usingizi
Ulikuwa wapi wakati nashindwa kula chakula
Ulikuwa wapi mbona umechelewa
Mbona umechelewa mbona umechelewa
Mbona umechelewa mbona umechelewa

Nilipelekwa puta sikubembelezwa kupewa hadhi
Nikala vya mafuta wakati mi hadhi yangu ya nazi
Kumbe hata kitandani nilipaswa kupandishwa
Hata kula mwiko yaani mi nilipaswa kulishwa
Kwa urefu wa mkono gani mgongo kujisugulisha
Mengine mapya ya chumbani oya we umenifundisha
Mbona Mbona umechelewa Mbona umechelewa

Kijiti eeeh kijiti ooh kijiti
Kakishikashika kimemchoma kijiti kimemtoboa
Kijiti eeeh kijiti Kakishikashika kimemchoma kijiti

Kama midomo chongeo kachongeni penseli
Mambo ya kwenye video si tunayafanya kweli
Kijiti eeeh kijiti
Kakishikashika kimemchoma kijiti
Unataka embe dodo ya nini urushe kote
Tingisha mti kidogo chini utaziokota eeeh
Kijiti eeeh kijiti
Kakishikashika kimemchoma kijiti
Wa mdondo wa mdondo huyo kuku wa madoa
Kamaliza mikorogo ngozi kujikoboa
Kijiti eeeh kijiti
Kakishikashika kimemchoma kijiti
Uuuh mwafulani mwisho wako barazani
Mwafulani ushoga wa zamani kuyajua ya chumbani
Kijiti eeeh kijiti
Kakishikashika kimemchoma kijiti
Odo Odo wangu oooh Odo
Nikidondoka unibebe Odo Odoo Odo



Credits
Writer(s): Mbosso Mbosso
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link