Nalala

Robby vibe
Secret
Madiko diko nikikupa utajilambia
Bandika bandua
Utamu Kolea la la la la
Nami napenda mkungu wa ndizi
Tunyama kujisevia
Jicho la kusinzia
Siishi kodolea
Umeniteka nyala aah

Unanipa changamoto moto moto
Nipo hali mbaya
Njoo nipe kajoto joto
Oh baby I'm on fire aah

Nakupenda pia
Nakutaka pia mpenzi weeh
Unanipatia sijiwezi eeh
Unanipatia sijiwezi eeh
Mmh aah

Nalala
Utamu mpaka nalala
Niongeze baby
Niongeze mwenzio
Nalala
Utamu mpaka nalala
Niongeze baby
Niongeze mwenzio

Unanipeti unanipeti fire
Unanisakata
Unaimiliki kaya kaya
Unanichimbua mpaka ini anha
Unanipindisha nyuzi tisini enhe
Juu ya dirisha kabatini
Na unanigalagaza sakafuni baby iih

Tena unanipelekesha mpaka
Sioni popote
Nipo nyakanyaka

Nakupenda pia
Nakutaka pia, mpenzi weeh
Unanipatia sijiwezi eeh
Unanipatia sijiwezi eeh
Mmh aah

Nalala
Utamu mpaka nalala
Niongeze baby
Niongeze mwenzio
Nalala
Utamu mpaka nalala
Niongeze baby
Niongeze mwenzio



Credits
Writer(s): Sophia Biboze
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link