Mapoz (feat. Mr. Blue & Jay Melody)

Hmm-hmm
Oh-no-no-no
Jay once again

Penzi zito kilo mia hamsini
Vile napata raha utaniambia nini
Kuna muda kama siamini
Na kuna muda ni ka napendwa na jini
Maana penzi lako ndege mtini
Niko matawi ya juu nisha tulia mimi
For your love let me sing-sing
Nishakolea hatari mapenzini

Tamu pipi ya kijiti (ah-han)
Ukilamba unacheka
Na kibaridi hiki
Niozesheni hata ndoa ya mkeka
Penzi halishikiki (an-han)
Linavyotetemesha
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi Nnavyocheza
Mi na mapoz na mimi

Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami

Na sio ndumba waala raha tuu zimenizidi
Sio mambo ya mitala, penzi mwenye nafaidi
Oh, nalishwa nalala, nakumbatwa kwa baridi
Usinione nang'ara natunzwa Alhabibi, oh-ooh)

Matikiti kudondoka, matikiti kudondokea
Marafiki huwa ni nyoka, hivyo chunga wanayo ongea
Nikandekande nikichoka, sio narudi unanifokea
Wenda mwenzio nilipotoka, mambo fyongo hayaja ninyokea

Tamu pipi ya kijiti (ah-han)
Ukilamba unacheka
Na kibaridi hiki
Niozesheni hata ndoa ya Mkeka
Penzi halishikiki (ah-han)
Linavyotetemesha jamani
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi navyocheza
Mi na mapoz na mimi

Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz namimi
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz nami
Mapoz nami, mi na mapoz namimi

Ngoja, huu ni usiku au mchana?
Hold up, hii ni leo au ni jana?
Mapoz nami, ah, unanikumbusha ujana
Roho unavyoirusha ntakuja kufa msichana
Nimepagawa uwanjani na sijui ngapi-ngapi
Refa ni nani mbona mpira hauji kati
Nichague kijani, yellow au papi
Au nije muda gani ili niende na wakati
Unawakanya mabishoo
Kitandani unanipa show mpaka nasahau show (ah-wee)
Unanchanganya kwenye roho, usije kun'danganya, no
Weka penzi niweke Doo (ah-wee)

Mapoz nami we na mapoz nami
Mapoz nami we na mapoz nami
Mapoz nami we na mapoz nami
Mapoz nami we na mapoz na mimi

Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz na mimi
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz nami
Mapoz nami mi na mapoz na mimi

Eyoo Zombie
What it do?
We back
Number moja, moja, moja, moja
Hii ni sauti ya Rais
Yani President
Haujui
(Wasafi)



Credits
Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Nasibu Abdul Juma, Sharif Said Juma, Khery Sameer
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link