Zoba
Kama kosa la macho
Hata mkiziba nsimuone
Ndani ya moyo wangu namuona yeye
Oooh kimaso maso wenye wivu mukome
Mtaambulia matandu solo nala na yeye
Na mkisema ananichuna ntampa paka BOT
Kama penzi taalumu basi ye ana degree
Kwake simezi mezi azuma kitu swafi og
Midomo itawanuka kwa kununa
Mngetafuna ata bigijii
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini, staki nichezewe
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini, staki nichezewe
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Vyandani ni siri kanikataza nsiseme
Ila ningewaambia raha anazonipa
Kunako alfajiri, anaparama mnazi augeme
Huku tunasinzia, paka tunafika
Alafu darling nikupe sirii
Mikwako chalii moyo na mwili
Kama mie gari we ndio tairi
Usije ukaenda mbali utanihadhirii
Amina amina na iwe kheri amina
Daima daima nikuvishe shera na hina
Amina amina na iwe kheri amina
Daima daima nikuvishe shera na hina
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini staki nichezewe
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini staki nichezewe
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Hata mkiziba nsimuone
Ndani ya moyo wangu namuona yeye
Oooh kimaso maso wenye wivu mukome
Mtaambulia matandu solo nala na yeye
Na mkisema ananichuna ntampa paka BOT
Kama penzi taalumu basi ye ana degree
Kwake simezi mezi azuma kitu swafi og
Midomo itawanuka kwa kununa
Mngetafuna ata bigijii
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini, staki nichezewe
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini, staki nichezewe
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Vyandani ni siri kanikataza nsiseme
Ila ningewaambia raha anazonipa
Kunako alfajiri, anaparama mnazi augeme
Huku tunasinzia, paka tunafika
Alafu darling nikupe sirii
Mikwako chalii moyo na mwili
Kama mie gari we ndio tairi
Usije ukaenda mbali utanihadhirii
Amina amina na iwe kheri amina
Daima daima nikuvishe shera na hina
Amina amina na iwe kheri amina
Daima daima nikuvishe shera na hina
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini staki nichezewe
Yeye niwangu mimi mimi ni wake yeye
Wengine sa wanini staki nichezewe
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Mimi kwake zoba (mimi kwake zobaa)
Mimi kwake jinga (mimi kwake jingaa)
Credits
Writer(s): Abdul Hamisi Mtambo
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.