Permanent

Are you ready to receive
Permanent Blessings Tonight?
For the blessings you have
Received tonight are no
Longer temporary there
Permanent praise Jesus

Nani kaona yale mambo
Mungu Baba kanitendea
Nani kaona yale mambo
Mungu Baba kanitendea

Nani kaona yale mambo
Mungu Baba kanitendea
Nani kaona yale mambo
Mungu Baba kanitendea

Kanifanya niimbe
Mbele ya adui nivimbe
Niko sure na huyu mzee
Kanitendea

Kanifanya niimbe
Mbele ya adui nivimbe
Niko sure na huyu mzee
Kanitendea

Amesema yuko nami wala siogopi
Maana he is on my side
Baraka zake ni kwa wingi ninamuamini
Ni mtetezi wangu Permanent

Yeeih Yeeih

Amesema yuko nami wala siogopi
Maana he is on my side
Baraka zake ni kwa wingi ninamuamini
Ni mtetezi wangu Permanent
Yeeih Yeeih

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

We don't stop

Tumefunga naye mkataba
Baraka sisi Mungu anatupaga
Ulinzi wake tu unatoshaga
Haki zetu anapiganiaga

Oooh hatutanyang'anywa tena
Tena tena tena tena

Oooh hatutanyang'anywa tena
Tena tena

Tumefunga naye mkataba
Baraka sisi Mungu anatupaga
Ulinzi wake tu unatoshaga
Haki zetu anapiganiaga

Oooh hatutanyang'anywa tena
Tena tena tena tena

Oooh hatutanyang'anywa tena
Tena tena

Nimeshikika kwake
Sitachomoka kwake
Permanent permanent

Nimeshikika kwake
Sitachomoka kwake

We don't stop

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Yeeih Yeeih

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Baba kasema nisihofu
Yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Yeeih Yeeih

Baba kasema nisihofu
yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka
Ni Permanent

Praise Jesus

Tumefunga naye mkataba
Baraka sisi Mungu anatupaga
Ulinzi wake tu unatoshaga
Haki zetu anapiganiaga

Oooh hatutanyang'anywa tena
Tena tena tena tena

Oooh hatutanyang'anywa tena

Tumefunga naye mkataba
Baraka sisi Mungu anatupaga
Ulinzi wake tu unatoshaga
Haki zetu anapiganiaga

Oooh hatutanyang'anywa tena
Tena tena

Oooh hatutanyang'anywa tena
hatutanyang'anywa tena

Asanteni sana
Mungu awabariki sana



Credits
Writer(s): Neema Choir
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link