Bwana Ni Mchungaji Wangu

Bwana ni mchungaji wangu
Sitapungukiwa kitu
Hunilaza kwenye majani mabichi
Hunongoza kwa maji matulivu
Hunihuisha nafsi yangu
Huniongoza kwa njia za haki
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa wewe u nami

Hakika wema nazo fadhili
Zitanifuata mimi
Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zitanifuata mimi
Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu

Gongo lako na fimbo yako
Vinanifariji mimi
Waandaa meza mbele yangu
Machoni pa watesi wangu

Hakika wema nazo fadhili
Zitanifuata mimi
Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu
Hakika wema nazo fadhili
Zitanifuata mimi
Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu

Hakika wema nazo fadhili
Zitanifuata mimi
Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu

Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu
Nitakaa nyumbani mwa bwana...



Credits
Writer(s): Reuben Kigame
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link