Joto Hasira
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Kila siku nimenuna
Kwani tunagombana
Tena tunakosoana
Kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana
Ya si kuzinguana
Yani kila mtu anajua sana
Au yote sababu yaa
Sababu yaa
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Mazao twalima wote
Sahani wavuta kwakoo
Kama chakula tule wote
Kwanini chote kije kwakoo
Kisu mpini umeshika wewe
Vitisho kunikata mimi
Mmmhhhh
Au yote sababu yaa
Sababu yaa
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Uuuuh
Sahau sahau shidaa
Oooh
Ishida ziliisha jana
Say goodbye joto
Rest in peace shida
Knock knock Money
Wenyewe wanasema usawa unakaba
Na rafiki wa kweli ni mama na baba
Hawa wengine wala usiwaamini
Maana binadamu wa sasa
Wana roho saba
Watakuwa na wewe kwenye raha
Na hawatakuwa na wewe kwenye njaa
Bora nipige misele yangu
Pekeyangu
Niruke pekeyangu
Na woga niliukataa
Aah
Nabadilika kama saa
Na siku hazigandi
Na sitokata tamaa
Wamejaa usaliti na chuki
Watu wa karibu
Wanageuka Mamluki
General Nasonga
Iwe joto au baridi naamini tutashinda
Kama ngwai iwe ngwai
Barida
We make more money
Rest in peace shida
Ukinuna nataka tunune wote
Ukilia nataka tulie wote
Vita vyako tunapigana wote
Tukishinda tushinde
Au bora tufe wote
Kama kulima kote tumelima wote
Hata kupanda
Kote tumepanda wote
Kupalilia tumepalilia wote
Aah nashangaa sasa
Mbona hatuvuni wote
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Kila siku nimenuna
Kwani tunagombana
Tena tunakosoana
Kama tumechanganyikiwa
Na sioni hata maana
Ya si kuzinguana
Yani kila mtu anajua sana
Au yote sababu yaa
Sababu yaa
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Mazao twalima wote
Sahani wavuta kwakoo
Kama chakula tule wote
Kwanini chote kije kwakoo
Kisu mpini umeshika wewe
Vitisho kunikata mimi
Mmmhhhh
Au yote sababu yaa
Sababu yaa
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Uuuuh
Sahau sahau shidaa
Oooh
Ishida ziliisha jana
Say goodbye joto
Rest in peace shida
Knock knock Money
Wenyewe wanasema usawa unakaba
Na rafiki wa kweli ni mama na baba
Hawa wengine wala usiwaamini
Maana binadamu wa sasa
Wana roho saba
Watakuwa na wewe kwenye raha
Na hawatakuwa na wewe kwenye njaa
Bora nipige misele yangu
Pekeyangu
Niruke pekeyangu
Na woga niliukataa
Aah
Nabadilika kama saa
Na siku hazigandi
Na sitokata tamaa
Wamejaa usaliti na chuki
Watu wa karibu
Wanageuka Mamluki
General Nasonga
Iwe joto au baridi naamini tutashinda
Kama ngwai iwe ngwai
Barida
We make more money
Rest in peace shida
Ukinuna nataka tunune wote
Ukilia nataka tulie wote
Vita vyako tunapigana wote
Tukishinda tushinde
Au bora tufe wote
Kama kulima kote tumelima wote
Hata kupanda
Kote tumepanda wote
Kupalilia tumepalilia wote
Aah nashangaa sasa
Mbona hatuvuni wote
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Hili joto hasiraa
(Ambaa)
Upepo hakunaa
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa ambaa)
foleni njia nzimaa
(ambaa)
na pesa hakuna
(Ambaa naruka mwenyewe
yelelaa yelelaa Ambaa)
Credits
Writer(s): Judith Wambura Mbibo
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.