Nasema Asante

Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Oooh nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Mungu nasema asanti Baba
Nasema asanti kwa wema Wako
Nakushukuru, nakushukuru Wewe
Umenitendea makubwa
Nainua Jina Lako, natukuza Jina Lako
Unastahili Baba, Unastahili kuinuliwa
Unastahili sifa na utukufu
Wewe ni wa ajabu
Umenilinda Baba, Umeniponya
Umeniinua, Umenibariki
Haleluya Jehova Jire
Nakuinua, nasema asanti Baba, asanti kwa wema wako
Nakushukuru, Wewe ni Alpha na Omega
Wewe ni mwanzo na ni mwisho
Hakuna mwingine Baba
Haleluya nakupenda, nakuinua, nakutukuza
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.



Credits
Writer(s): Sarah Kiarie,
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link