Nasema Asante
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Oooh nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Mungu nasema asanti Baba
Nasema asanti kwa wema Wako
Nakushukuru, nakushukuru Wewe
Umenitendea makubwa
Nainua Jina Lako, natukuza Jina Lako
Unastahili Baba, Unastahili kuinuliwa
Unastahili sifa na utukufu
Wewe ni wa ajabu
Umenilinda Baba, Umeniponya
Umeniinua, Umenibariki
Haleluya Jehova Jire
Nakuinua, nasema asanti Baba, asanti kwa wema wako
Nakushukuru, Wewe ni Alpha na Omega
Wewe ni mwanzo na ni mwisho
Hakuna mwingine Baba
Haleluya nakupenda, nakuinua, nakutukuza
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Oooh nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Mungu nasema asanti Baba
Nasema asanti kwa wema Wako
Nakushukuru, nakushukuru Wewe
Umenitendea makubwa
Nainua Jina Lako, natukuza Jina Lako
Unastahili Baba, Unastahili kuinuliwa
Unastahili sifa na utukufu
Wewe ni wa ajabu
Umenilinda Baba, Umeniponya
Umeniinua, Umenibariki
Haleluya Jehova Jire
Nakuinua, nasema asanti Baba, asanti kwa wema wako
Nakushukuru, Wewe ni Alpha na Omega
Wewe ni mwanzo na ni mwisho
Hakuna mwingine Baba
Haleluya nakupenda, nakuinua, nakutukuza
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Nasema asanti kwa Mungu wangu
Nasema Asanti kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele
Amina.
Credits
Writer(s): Sarah Kiarie,
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.