Sayari
Stanza1
Sayari... sayari... eeh dunia
mbona wanipa hofu nyingi ewe dunia
yatokeao kwako ewe dunia
Kila kukicha mambo hugeuka kuwa maongo
inawezekana umezeeka dunia
au wakaao ndani yako ndio wamezeeka
Kila ufikapo ni vilio nifanyeaje
maafayawakabili wengi dunia wazeeka
Sayari dunia uliumbwa wapendeza
lakini sasa watupeleka wapi
tunahangaika hatujui tuendako
ni mungu pekee ajuaye
Stanza 2
njaa majonjwa yasiyotibika
mambo yatisha eeh dunia waenda wapi
kila mahali ni jangwa twende wapi
rotuba nayo imeshatoweka sasa twende wapi
hali ya maisha ni ngumu sana kwa wote
kwa tajiri na maskini wote nisawa
uchumi wa dunia yote wayumbaa
ona mataifa makubwa yote nayo yajejereka
sayari dunia uliumbwa wapendeza
lakini sasa watupeleka wapi
tunahangaika hatujui tuendakako
ni mungu pekee ajuaye
Stanza 3
sayari dunia umechoka
na wakao ndani yao wote wamekuchoka
hakuna mzazi awezae kuvumilia
Kuona mwanawe anakatwa kichwa kwa ajili ya kafara
damu za watu zimekua ni tamu
nionavyo si kawaida ewe dunia
tuyaonayo yanatisha dunia
oooh nahofu moyoni mwangu
sayari dunia uliumbwa wapendeza
lakini sasa watupeleka wapi
tunahangaika hatujui tuendako
ni mungu pekee ajuaye
tunahangaika hatujui tuendako
ni mungu pekee ajuaye
(repeat)
Lyrics by Ndeche Herman
Sayari... sayari... eeh dunia
mbona wanipa hofu nyingi ewe dunia
yatokeao kwako ewe dunia
Kila kukicha mambo hugeuka kuwa maongo
inawezekana umezeeka dunia
au wakaao ndani yako ndio wamezeeka
Kila ufikapo ni vilio nifanyeaje
maafayawakabili wengi dunia wazeeka
Sayari dunia uliumbwa wapendeza
lakini sasa watupeleka wapi
tunahangaika hatujui tuendako
ni mungu pekee ajuaye
Stanza 2
njaa majonjwa yasiyotibika
mambo yatisha eeh dunia waenda wapi
kila mahali ni jangwa twende wapi
rotuba nayo imeshatoweka sasa twende wapi
hali ya maisha ni ngumu sana kwa wote
kwa tajiri na maskini wote nisawa
uchumi wa dunia yote wayumbaa
ona mataifa makubwa yote nayo yajejereka
sayari dunia uliumbwa wapendeza
lakini sasa watupeleka wapi
tunahangaika hatujui tuendakako
ni mungu pekee ajuaye
Stanza 3
sayari dunia umechoka
na wakao ndani yao wote wamekuchoka
hakuna mzazi awezae kuvumilia
Kuona mwanawe anakatwa kichwa kwa ajili ya kafara
damu za watu zimekua ni tamu
nionavyo si kawaida ewe dunia
tuyaonayo yanatisha dunia
oooh nahofu moyoni mwangu
sayari dunia uliumbwa wapendeza
lakini sasa watupeleka wapi
tunahangaika hatujui tuendako
ni mungu pekee ajuaye
tunahangaika hatujui tuendako
ni mungu pekee ajuaye
(repeat)
Lyrics by Ndeche Herman
Credits
Writer(s): Ambassadors Of Christ Choir
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.