Tumebarikiwa

Tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu
Hatuna hofu katika safari
Shida na matatizo hazitanitisha
Sina mashaka nimebarikiwa

Tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu
Hatuna hofu katika safari
Shida na matatizo hazitanitisha
Sina mashaka nimebarikiwa

Tumebarikiwa na Mwenyezi Mungu
Hatuna hofu katika safari
Shida na matatizo hazitanitisha
Sina mashaka nimebarikiwa

Ninakaza mwendo sitarudi nyuma
Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena

Ninakaza mwendo sitarudi nyuma
Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Ninakaza mwendo sitarudi nyuma
Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena

Ninakaza mwendo sitarudi nyuma
Furaha ya ulimwengu haitanivuta tena

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Uko mbele kuna matunda ya uzima

Usife moyo ujitahidi uko mbele kuna matunda ya uzima.

Usife moyo ujitahidi uko mbele kuna matunda ya uzima.

Uko mbele kuna matunda ya uzima



Credits
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link