Pamela

Kwanza kako sex (Pamela)
Kiuno kama kazaliwa congo
Ebo nikadeti (Pamela)
Mikogo kama samaki kamongo
Chumbani nikaletii (Pamela)

Vulugu kama show zamanifongo
Navyopenda deki (Pamela)
Ulimi shingo mpaka kwamgongo (Hii)
Katoto katamtam
Kanampendaga pipi na chewn gam (Anhaa)
Kimoko na came came
Kitandani kwichi kwichi ni bam bam (Anhaa)

Eeh!
Oh najua maana ya penzi burudani
Na ndio maana nakupa kokote
Singoji mpaka kitandani
Aaaah yeah! (Pamela)
Oooh! Oh! Oh!

Pamela!
She is hotter than fire (Pamela)
Ukimuona utagwaya (Pamela)
Zigo lazima ntafire (Pamela)
Na kapenda ile mbaya (Pamela)

Aiiiy!!
Eeh my heart ooh!
She de skata my heart ooh! (Pamela)
Eeh my heart ooh!
Kanaumiza my heart ooh!

Eeh my heart ooh!
She de skata my heart ooh! (Pamela)
Eeh my heart ooh!
Kanaumiza my heart ooh!

Nilikutana nako Mbagala
Kwa kina Lufufu Mkandala
Mtoto mwali kidandala
Mtamu kwa nguna na sangala
Ooooh naa!

Anavyopose mchokozi
Nikiwa namwaga dose
Napocheza na ngozi
Hunikosi (Pamela)

Mpaka majonzi kwa njozi
Utamu kwa utosi
Sinaga ubitozi
Ni konzi (Pamela)

Oh najua maana ya penzi burudani (Ooh! oh!)
Na ndio maana nakupa kokote
Singoji mpaka kitandani
Eeeeh yeah!
Pamela!(Pamelaa)
Oooh! Oh! Oh!

Pamela
She is hotter than fire (Pamela)
Ukimuona utagwaya (Pamela)
Zigo lazima ntafire (Pamela)
Ooh nakapenda ile mbaya (Pamela)

Mwenye mdomo wa kulamba koni
Napozi za picha
Na moyoni nimekuficha
Picha ya mapicha picha
Wazushi wanayonipa nipa
Hayaumizi kichwa kichwa
Wala kunitisha

Usije nikatisha mood (Mood)
Kwa kufanya kusudi (Kusudi)
Ukaanza tena usiku na mchana
Ma nenda rudi (Rudi mama)

Kifuani sita tumbo hauna
Na ukikatika ndio kabisa Naumwa (Heheheh)
Njoo tucheze kibaku baku (Pamela)
Tuwakomeshe manyaku nyaku (Pamela)
Ukate taratibu yani nyatu nyatu (Pamela)
Kitandani unimeze ile kichatu chatu

Sikufichi namiss kumuchezo kako kila mara
Na ndio maana huwa napita pekupeku bila Ndala
Show ndefu kwa body nang'ala ng'ala
Navuruga shape mwisho unabaki unagalagala
Msodoki

Eeeh Eh! Pamelaa
Oooh oh! Pamela

She is hotter than fire (Pamela)
Ukimuona utagwaya (Pamela)
Zigo lazima ntafire (Pamela)
Na kapenda ile mbaya (Pamela)
Nakupenda sana

Eeeh!
Eeeh!



Credits
Writer(s): Nasibu Abdul Juma Issaack, Eriki Msodoki
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link