Amor
Ooh yeah,
Beiby
This one for the true lovers
Just In Love Music
Hey naumia moyo
Beiby... yeah mmh
Ningekuwa mng'ata hii dunia
Ooh mi amor
Ila ndo nisije jaliwa
Sina la ku offer
Zaidi ya mapenzi ya dhati
Hali yako naielewa
Wala usijali, nimekubali ilivyo
Kwako nimelowa
Nilidhani nitaelea nikajihisi mia, ooh
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
Kwenye shida na raha, aah-aah
Kwa kumbato lako ni sawa, sawa
Kwa maradhi sihitaji dawa, dawa
Kwa busu lako baba ni sawa, sawa
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hatuna king-size bedi ila twalala(twalala)
Haila za burger, ila twala(twala)
Umeridhia moyo Kwa penzi lako la dhamani
Hatuna king-size bedi ila twalala(twalala)
Burger, ila twala(twala)
Umeridhia moyo Kwa penzi lako la dhamani
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
Kwenye shida na raha, aah-aah
Kwa kumbato lako ni sawa, sawa
Kwa maradhi sihitaji dawa, dawa
Kwa busu lako baba ni sawa, sawa
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Beiby
This one for the true lovers
Just In Love Music
Hey naumia moyo
Beiby... yeah mmh
Ningekuwa mng'ata hii dunia
Ooh mi amor
Ila ndo nisije jaliwa
Sina la ku offer
Zaidi ya mapenzi ya dhati
Hali yako naielewa
Wala usijali, nimekubali ilivyo
Kwako nimelowa
Nilidhani nitaelea nikajihisi mia, ooh
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
Kwenye shida na raha, aah-aah
Kwa kumbato lako ni sawa, sawa
Kwa maradhi sihitaji dawa, dawa
Kwa busu lako baba ni sawa, sawa
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hatuna king-size bedi ila twalala(twalala)
Haila za burger, ila twala(twala)
Umeridhia moyo Kwa penzi lako la dhamani
Hatuna king-size bedi ila twalala(twalala)
Burger, ila twala(twala)
Umeridhia moyo Kwa penzi lako la dhamani
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
My cherie
Hata na pasi nasa nayo ooh beiby
My hunnie
Hata balobi natika yoh jameni
Kwenye shida na raha, aah-aah
Kwa kumbato lako ni sawa, sawa
Kwa maradhi sihitaji dawa, dawa
Kwa busu lako baba ni sawa, sawa
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Hali mradi niko na wewe(iyee, iyee aaah)
Credits
Writer(s): Obunga Jacob Otieno
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.