Ndoto Ya Mchana
Iyeeeh iyeeh iyeeeh
Ni vampK
Lalalalalala lalalalalaaaa
Niliskia tufununu
Kwamba ulipata mwingine
Anayekupenda zaidi ya mimi
Mtafunga ndoa pengine
Yetu ilikuwa shadow
Mapenzi yenu yamekolea
Lazima huwa Anakupa
Vitu sikuwa nakupea
Ndoto zako zote
Ulizoniambia
Naona kama kweli sasa zinatimia
Na Sina chochote
Cha kukuambia
Ila nakonda Kweli nikikufikiria
Sura yako umbo lako jamani eeh
Busu na mahaba chumbani maami
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh
Nikikumbuka najiona hayawani maami
Nawatakia mema
(Nawatakia mema)
Nawatakia mema
(Nawatakia mema)
Nawatakia mema
(Nawatakia mema)
Basi kwaheri kwaheri
Kwaheri Mama
(Ndoto yangu ya Mchana)
Ingawa inaniuma
Niko na furaha moyoni
Kuona kwamba umepata
Vyote ulivyokuwa unatamani
Naomba nipate mwaliko
Wa harusi nije Nile wali
Nipige picha na wadau
Nikupe zawadi kama zamani
Alafu ntapeform
Kama beshte yako
Kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform
Tunza mume wako
Japo kuna vitu zenye ninatamani
Sura yako umbo lako jamani eeh
Busu na mahaba chumbani maami
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh
Nikikumbuka najiona hayawani maami
Ingawa ningependa
Ungekuwa wangu pekee
(Nawatakia mema)
Ingawa moyoni
Umeniachia kidonda
(Nawatakia mema)
Namwomba Mungu
Anipatie
Mwingine Kama wewe
(Nawatakia mema)
Hivo kwaheri kwaheri
Kwaheri kwaheri mama
(Ndoto yangu ya Mchana)
Lakini ninaomba
Unifanyie favour Moja
(Nawatakia mema)
Ukijifungua
Kama ni wa kiume
Mpe jina laangu
(Nawatakia mema)
Na kama ni wa kike
Mpe jina la mama yangu
(Nawatakia mema)
Hivo kwaheriiiiiiii
(Ndoto yangu ya Mchana)
Lalalala lalalala
Iyeeeeeeeeh
Ni vampK
Lalalalalala lalalalalaaaa
Niliskia tufununu
Kwamba ulipata mwingine
Anayekupenda zaidi ya mimi
Mtafunga ndoa pengine
Yetu ilikuwa shadow
Mapenzi yenu yamekolea
Lazima huwa Anakupa
Vitu sikuwa nakupea
Ndoto zako zote
Ulizoniambia
Naona kama kweli sasa zinatimia
Na Sina chochote
Cha kukuambia
Ila nakonda Kweli nikikufikiria
Sura yako umbo lako jamani eeh
Busu na mahaba chumbani maami
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh
Nikikumbuka najiona hayawani maami
Nawatakia mema
(Nawatakia mema)
Nawatakia mema
(Nawatakia mema)
Nawatakia mema
(Nawatakia mema)
Basi kwaheri kwaheri
Kwaheri Mama
(Ndoto yangu ya Mchana)
Ingawa inaniuma
Niko na furaha moyoni
Kuona kwamba umepata
Vyote ulivyokuwa unatamani
Naomba nipate mwaliko
Wa harusi nije Nile wali
Nipige picha na wadau
Nikupe zawadi kama zamani
Alafu ntapeform
Kama beshte yako
Kale kawimbo nilikuimbia shambani
Na nitakuinform
Tunza mume wako
Japo kuna vitu zenye ninatamani
Sura yako umbo lako jamani eeh
Busu na mahaba chumbani maami
Mawaidha yako nikiwa matatani eeh
Nikikumbuka najiona hayawani maami
Ingawa ningependa
Ungekuwa wangu pekee
(Nawatakia mema)
Ingawa moyoni
Umeniachia kidonda
(Nawatakia mema)
Namwomba Mungu
Anipatie
Mwingine Kama wewe
(Nawatakia mema)
Hivo kwaheri kwaheri
Kwaheri kwaheri mama
(Ndoto yangu ya Mchana)
Lakini ninaomba
Unifanyie favour Moja
(Nawatakia mema)
Ukijifungua
Kama ni wa kiume
Mpe jina laangu
(Nawatakia mema)
Na kama ni wa kike
Mpe jina la mama yangu
(Nawatakia mema)
Hivo kwaheriiiiiiii
(Ndoto yangu ya Mchana)
Lalalala lalalala
Iyeeeeeeeeh
Credits
Writer(s): Kelvin Leteipa
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.