Baki Na Mimi

Ni vampK 254. Mhhhhh

Kukutazama, Ukitabasamu
Nikama kuwatch movie za afro, siwezi boeka
We ndo kitabu, Mi ndo kalamu
Niliumbwa kwa ajili yako, Kama masai na Rubeka
Ninatamani ningewa yako mavazi
Nikusitiri nikuguse Kila wakati
Ungewa stew ama kasupu ka mbaazi
Ningewa sembe Mokimo ama chapati

Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Kamba za viatu babe, mi nikufungie

(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba, utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba, Utapona nna tiba mamaa
(Baki na Mimi)

Nakama ungewa, mwanasiasa,ninge piga kampeni zako
Nikusifie, kwa giza na mwangaza, mpaka kwa maadui zako
Nitakubusu bila woga hadharani
Ili wajue wewe ndo wangu mwandani
Ningewa kijiko lazma ungewa sahani
Kututenganisha Hilo haliwezekani

Baki na Mimi kipenzi, nikushughulikie
Kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
Nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
Na ukichoka,nikubebe, wivu wasikie

(Baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(Ooh Baki namimi) nitakonda utavimba, utakopa ntalipa mama
(Baki na Mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(Ooh Baki na Mimi) ukisota ntaiba, Utapona nna tiba mamaa
(Baki na Mimi)

Big daddy
Oooouuuuuhh yeaaah
Uuuuuuuuuuuh
Lalalalalalalaaa
Iyeeiyeiyeeeh, iyeeh iyeiyeiyeeeh



Credits
Writer(s): Kelvin Leteipa
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link