HAYA (feat. ADASA)
Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya
Sema kipi nilicho kosea,au siridhiki na nnacho pewa
Kilema ambacho umenipa nisione tena mdomo ushindwe kuongea
Kile kidogo changu,hali yangu vyote nlikwambia
Usinishushe thamani,mahabani donda nkaugulia
Ooh! Bebi,kama usiku wa jana kukesha kulumbana
Ya nini jamani,eeh
Penzi ni kupendana sio kugombana
Kwa nini jamani,wewee
Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya
Kweli we unanipenda kikweli,mana lawama hasiishi ni daily
Oohh baba wewe,utanishinda miiee
Kila kukicha vurugu siwezi,mie mbichi utanichubua ngozi
Oohh baba wewe,utanishinda miiee
Mbona,mbona mie mpweke kwenye ndoa yangu
Lawama,lawama ndo mishale kwenye moyo wangu wowowo!
Utaniua bure,me ni mke wa sheihk
Najisitiri,na heshima ya mjini
Nina damu ya mpare,kujitii ni halalii
Najisitirii na heshima ya mjinii
Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya
Hayaa haya,hayaa haya
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya
Sema kipi nilicho kosea,au siridhiki na nnacho pewa
Kilema ambacho umenipa nisione tena mdomo ushindwe kuongea
Kile kidogo changu,hali yangu vyote nlikwambia
Usinishushe thamani,mahabani donda nkaugulia
Ooh! Bebi,kama usiku wa jana kukesha kulumbana
Ya nini jamani,eeh
Penzi ni kupendana sio kugombana
Kwa nini jamani,wewee
Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya
Kweli we unanipenda kikweli,mana lawama hasiishi ni daily
Oohh baba wewe,utanishinda miiee
Kila kukicha vurugu siwezi,mie mbichi utanichubua ngozi
Oohh baba wewe,utanishinda miiee
Mbona,mbona mie mpweke kwenye ndoa yangu
Lawama,lawama ndo mishale kwenye moyo wangu wowowo!
Utaniua bure,me ni mke wa sheihk
Najisitiri,na heshima ya mjini
Nina damu ya mpare,kujitii ni halalii
Najisitirii na heshima ya mjinii
Hayaa haya,,naondoka nimechoka
Hayaa haya,,maneno yako hayaishi kinywani
Hayaa haya,,wewe me na wewe nimechoka
Hayaa haya
Hayaa haya,hayaa haya
Credits
Writer(s): Matano Mramba
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.