Nina Siri

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki
Yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, Amen
Yaniburudisha, nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen

Nina siiri

Nina siri naye Yesu
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Waambie wanaolia
Wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake
Na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen

Waambie wanaolia
Wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake
Na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Wataimba Hosana, Amen

Nina siiri

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Mwokozi wangu)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, Amen

(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Hosana, Amen
(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Hosana, Amen

(Nina siri na Yesu)
Nina siri naye Yesu
(Yanifanya)Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha,(nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Hallelujah!

(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
Hosana, Amen

Hallelujah!



Credits
Writer(s): Alvin Handro, Israel Mbonyi
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link