Aiyolela

Nina uraibu wa penzi lako, siwezi ridhika
Nipe tena na tena, mpaka sijiwezi kabisa
Tumeshibana hata kwenye njaa, aah
Japo haba tunagawana (eh, eh)
Wala hato nong'ona, aah
Mahaba hatopunguza

Washajaribu kumuhonga mengi, yeye
Ila hajanimwaga yeye, mama

Penzi lako sio karibu hata na ya sayari hii
Nikikukosa karaha, kukupoteza sipo radhi

Oh, mama (oh, oh, oh)
Sinipimie (eh, eh, eh)
Nipe tena na tena (oh, oh, oh)
Nipe tena (eh, eh, eh)

Oh mama (oh, oh, oh)
Sinipimie (eh, eh, eh)
Nipe tena na tena (oh, oh, oh)
Nipe tena (eh, eh, eh)

Nasema ninacho omba unipende, mengine majaliwa
Tukikosa ewala, tukipata kinaliwa
Iwe ugali kwa kumbu, haki sielewi
Alichonipendea nini haki ya Mungu, oh

Chake changu, changu chake (eh, eh)
Mtu na pachake (eh, oh, eh, oh)
Sihitaji zaidi yake (ah, ah)
Bora nibaki mwenyewe (ah, ah, ah, ah)

Chake changu, changu chake (eh, eh)
Mtu na pachake (eh, oh, eh, oh)
Sihitaji zaidi yake (ah, ah)
Bora nibaki mwenyewe (ah, ah, ah, ah)

Nakukabidhi moyo wangu uendeshe (oh, oh)
Wale oh, wachana wale, ooh
Wale oh, wachana wale, ooh

Ooh, Sinipimie (eh, eh, eh)
Nipe tena na tena (oh, oh, oh)
Nipe tena (eh, eh, eh)

Oh mama (oh, oh, oh)
Sinipimie (eh, eh, eh)
Nipe tena na tena (oh, oh, oh)
Nipe tena (eh, eh, eh)

Deka, deka, deka mama we unapendwa, eeh
Deka, deka, deka mama we unapendwa (ah, ii)

Digira (ah, ii), digira baby (prrr)
Digira (ah), digira, eeh
Digira, digira mama (ah, ii)
Digira (ah, ah, ah, ah)

Digira (ah, ii), digira baby (prrr)
Digira, digira (aya)
Digira, digira baby
Digira, digira ma

Aiyolela (aiyolela)
Aiyolela (oh, aiyolela)
Aiyolela (oh, aiyolela)
Aiyolela (oh, mama)

Aiyolela (oh, mama we)
Aiyolela (oh, mama we)
Aiyolela (oh, we)
Aiyolela, eeh



Credits
Writer(s): Jacob Obunga
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link