Niseme Nawe (feat. Barakah the Prince)
Waniona nakuangalia,
na tayari ushajua kuwa naitaka, yo
mimi ni mgeni huku na ata nilikotoka,
pia sijawahi ona kama yo,
nacho kiuno chako, unavyokizungusha roho yangu,
unairusha eh, unairusha oh mama,
mbona kuvava la mvuvi,
haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
njoo udensi na mtoto mjini
kuvava la mvuvi,
haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
njoo udensi na mtoto wa mjini
PRE-CHORUS:
eti ukisonga nami ntasonga,
hutaki niguse, nayashakoma,
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuata na unavyofanya
eti ukisonga nami ntasonga,
nami ukinipa pia sitakataa
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuta unavyofanya
Mimi nataka nipakate 'si yake
pakate 'si yake eh,
pakate 'si yake,
mpaka jua lichomoze
ila sasa limetoka sitojua, eeh x2
Mimi na wewe, eh eh eh x2
Mimi nahisi kama kuna sababu tunakutana,
mbona tunalingana,
mambo mengi tunalingana nawe,
basi taratibu usinikanyage,
nguo yangu usiichane,
nia yangu sio mbaya,
ninacho omba n' nafasi nikujue,
ohh ohh.
haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
njoo udensi na mtoto wa mjini
uvava na mvuvi,
haya mambo yanahitaji nyuza ya maji marefu, hauyawezi
njoo udensi na mtoto wa mjini,
PRE-CHORUS:
eti ukisonga nami ntasonga,
hutaki niguse, nayashakoma,
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuata na unavyofanya
eti ukisonga nami ntasonga,
nami ukinipa pia sitakataa
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuta unavyofanya
[Mimi nataka nipakate 'si yake
pakate 'si yake eh
pakate 'si yake
mpaka jua lichomoze
ila sasa limetoka sitojua eeh] x2
Mimi na wewe eh ehe ehe x2
Eh nataka nikujue wewe
Mimi nataka n'kjue
Moyo wangu nikujue
sikatae niugue we
na tayari ushajua kuwa naitaka, yo
mimi ni mgeni huku na ata nilikotoka,
pia sijawahi ona kama yo,
nacho kiuno chako, unavyokizungusha roho yangu,
unairusha eh, unairusha oh mama,
mbona kuvava la mvuvi,
haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
njoo udensi na mtoto mjini
kuvava la mvuvi,
haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
njoo udensi na mtoto wa mjini
PRE-CHORUS:
eti ukisonga nami ntasonga,
hutaki niguse, nayashakoma,
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuata na unavyofanya
eti ukisonga nami ntasonga,
nami ukinipa pia sitakataa
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuta unavyofanya
Mimi nataka nipakate 'si yake
pakate 'si yake eh,
pakate 'si yake,
mpaka jua lichomoze
ila sasa limetoka sitojua, eeh x2
Mimi na wewe, eh eh eh x2
Mimi nahisi kama kuna sababu tunakutana,
mbona tunalingana,
mambo mengi tunalingana nawe,
basi taratibu usinikanyage,
nguo yangu usiichane,
nia yangu sio mbaya,
ninacho omba n' nafasi nikujue,
ohh ohh.
haya mambo yanahitaji uzira ya maji marefu hauyawezi
njoo udensi na mtoto wa mjini
uvava na mvuvi,
haya mambo yanahitaji nyuza ya maji marefu, hauyawezi
njoo udensi na mtoto wa mjini,
PRE-CHORUS:
eti ukisonga nami ntasonga,
hutaki niguse, nayashakoma,
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuata na unavyofanya
eti ukisonga nami ntasonga,
nami ukinipa pia sitakataa
usiwe na wasiwasi ma,
mimi nitafuta unavyofanya
[Mimi nataka nipakate 'si yake
pakate 'si yake eh
pakate 'si yake
mpaka jua lichomoze
ila sasa limetoka sitojua eeh] x2
Mimi na wewe eh ehe ehe x2
Eh nataka nikujue wewe
Mimi nataka n'kjue
Moyo wangu nikujue
sikatae niugue we
Credits
Writer(s): Jacob Obunga
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.