Basi
Nahisi siko sawasawa kunakitu kinakosa
Kumbe leo sijamuona
(I wonder if you feel the same way)
Basi naugua na siumwi
Chakula kooni hakipiti na silali
Hata kwa dawa za usingizi
(I wonder if you feel the same way)
Na macho yangu yanatamani kukuona
Nafsi yangu inakukosa sana
Na moyo wangu najawa hofu na uwoga
Mali yangu wasije wakanipora
Na moyoni nakosa Amani sina
Fikra zangu zinakwenda mbali kabisa
Ama jiji lishaa ninyang'anya we wanguIla niwie radhi kama
Nakuhukumu vibaya elewa yote kisa
Kisa mama
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi ujue
Ujue mama, nakupenda mpaka basi
Penzi langu unanihifadhia,
Heri ungekuwa sincere
Oh Je unaniwazanga,
Maana huku nakufikiria
Mi nakupenda kipimo sina,
Ni bora uwe macho
Usije niletea walosaz
Kukupenda jukumu langu, sheria kuu
Kwenye katiba ya penzi langu
Je uko uliko uko vizuri?
Mbona simu hushiki?
Hivi uko na nani, mnafanya nini?
Wasi wasi ninao
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi (Ujue)
Ujue mama, nakupenda mpaka basi
Waadhi na wasaha ulionipa nazingatiaIla nawe usije jisahau,
Ukashawishiwa
Na watanashati na washika dau
Ukanisahau
Sije nisusa utaniacha na mengi
Bana nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Ooh mimi nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Ukinizuga nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Ukinitenda mama nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi ujue ujue ujue Ujue ujue Ujue
Ujue mama, nakupenda mpaka basi
Kumbe leo sijamuona
(I wonder if you feel the same way)
Basi naugua na siumwi
Chakula kooni hakipiti na silali
Hata kwa dawa za usingizi
(I wonder if you feel the same way)
Na macho yangu yanatamani kukuona
Nafsi yangu inakukosa sana
Na moyo wangu najawa hofu na uwoga
Mali yangu wasije wakanipora
Na moyoni nakosa Amani sina
Fikra zangu zinakwenda mbali kabisa
Ama jiji lishaa ninyang'anya we wanguIla niwie radhi kama
Nakuhukumu vibaya elewa yote kisa
Kisa mama
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi ujue
Ujue mama, nakupenda mpaka basi
Penzi langu unanihifadhia,
Heri ungekuwa sincere
Oh Je unaniwazanga,
Maana huku nakufikiria
Mi nakupenda kipimo sina,
Ni bora uwe macho
Usije niletea walosaz
Kukupenda jukumu langu, sheria kuu
Kwenye katiba ya penzi langu
Je uko uliko uko vizuri?
Mbona simu hushiki?
Hivi uko na nani, mnafanya nini?
Wasi wasi ninao
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi (Ujue)
Ujue mama, nakupenda mpaka basi
Waadhi na wasaha ulionipa nazingatiaIla nawe usije jisahau,
Ukashawishiwa
Na watanashati na washika dau
Ukanisahau
Sije nisusa utaniacha na mengi
Bana nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Ooh mimi nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Ukinizuga nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Ukinitenda mama nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia nitalia mama
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali chunga usiniumize
Tunatoka mbali nyuma ukumbuke
Tunatoka mbali usiniache nijifie
Maana nakupenda mpaka basi ujue ujue ujue Ujue ujue Ujue
Ujue mama, nakupenda mpaka basi
Credits
Writer(s): Jacob Obunga
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.