Tufurahi

Nimeshachumia juani
Ndani ya kivuli mi sina pesa mkononi
Bishara asubuhi asubuhi mahesabu jioni
Mahesabu ya nini?

Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh

Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh

Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote

Dunia hii tunapita tu
Hasara roho pesa makaratasi
Heshimu kila mtu
Enjoy your life

Niende wapi nibaki wapi
Naona time bado usiku huu mi silali
Hasira yangu kuzitafuta ili nitumie
Kiboko cha nini acha nikipasue

Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh

Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh

Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote

Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh

Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh

Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote



Credits
Writer(s): Judith Wambura Mbibo
Lyrics powered by www.musixmatch.com

Link