Iqra
Uwe mtulivu uwe mjuaji much know/
Shika elimu, ongeza elimu kielimu uweze grow/
Usiache kusoma waarabu wanasema iqra/
Mambo mbalimbali fahamu kwenye maisha/
Usiache dunia inabadilika kwa kasi/
Huenda unachojua leo kitashuka thamani/
Usiishie kukumbata ulichojua zamani/
Make sure unaongeza kitu kipya kichwani/
Na hata kama ni kimoja kila day/
Zingatia hakikisha hakitoki kinastay/
Maana elimu ni elimu iwe ndogo ama kubwa/
Na kama itakufaa si mzuka?/
Umepita vidato bandugu hongera sana/
Ukaipata uliyopata heko vyema sana/
Ila hiyo sio tiketi ya kusema hapo mwisho/
Usidharau nyingine, ukasema umemaliza/
Sawa una vyeti vizuri tayari umeelimika/
Lakini hujamaliza kubali kuelimishwa/
Maana elimu yako imeegemea kwa ulivyosoma/
Ulivyospecialize ndo sana vingine holla/
Elimu ni pana mwingine kasoma kile/
Ambacho akija kwako inakuwa mambo mengine/
Na bado hakimfanyi kuwa bora kukuliko/
Maana yake ni kwamba hatujatosha kufundishwa/
Each one teach one twende hivyo maisha haya/
Nijuze nikujuze hata pasipo kulipa ada/
Elimu ni bahari tuskume chombo pamoja/
Tuvuke twende mbali tusonge kwa pamoja/
Kama wewe ni intellectual haipingwi/
Sema ikipanda kichwani ni upimbi/
Nenda unapoenda kasome bukua uchoke/
Ila hata uwe nani huwezi kujua vyote/
Nipe usikivu dadaa, nipe usikivu jamaa/
Hivi ushawahi kusikia kuhusu elimu ya mtaa/
Wapo watu hawajui kitabu kinafananaje/
Ila wana maujuzi maujanja ndo mahala pake/
Kushinda hata wasomi ma degree/
Elimu ya mtaa wali pass ma ged/
Na maarifa yao yanawasaidia kuishi/
Na maisha yao wana mafanikio kuzidi/
Sikukatishi sikukati stim/
Huenda njia zao zikawa marking scheme/
Kwako, kuwa humble kwa huyu yule hapa kule/
Chunga usiwe mjinga baada ya kuanza shule/
Fika mpaka chuo faulu na uvae joho/
Ila usiache kujifunza na usikatae bro/
Shule haiishii kiwango cha madaraja/
Na haiishii kwenye milango ya madarasa/
Yeah yeah
Elimu ni popote hujaelewa rudia tena/
Kuna wengine sheria wameijulia jela/
Shika elimu, ongeza elimu kielimu uweze grow/
Usiache kusoma waarabu wanasema iqra/
Mambo mbalimbali fahamu kwenye maisha/
Usiache dunia inabadilika kwa kasi/
Huenda unachojua leo kitashuka thamani/
Usiishie kukumbata ulichojua zamani/
Make sure unaongeza kitu kipya kichwani/
Na hata kama ni kimoja kila day/
Zingatia hakikisha hakitoki kinastay/
Maana elimu ni elimu iwe ndogo ama kubwa/
Na kama itakufaa si mzuka?/
Umepita vidato bandugu hongera sana/
Ukaipata uliyopata heko vyema sana/
Ila hiyo sio tiketi ya kusema hapo mwisho/
Usidharau nyingine, ukasema umemaliza/
Sawa una vyeti vizuri tayari umeelimika/
Lakini hujamaliza kubali kuelimishwa/
Maana elimu yako imeegemea kwa ulivyosoma/
Ulivyospecialize ndo sana vingine holla/
Elimu ni pana mwingine kasoma kile/
Ambacho akija kwako inakuwa mambo mengine/
Na bado hakimfanyi kuwa bora kukuliko/
Maana yake ni kwamba hatujatosha kufundishwa/
Each one teach one twende hivyo maisha haya/
Nijuze nikujuze hata pasipo kulipa ada/
Elimu ni bahari tuskume chombo pamoja/
Tuvuke twende mbali tusonge kwa pamoja/
Kama wewe ni intellectual haipingwi/
Sema ikipanda kichwani ni upimbi/
Nenda unapoenda kasome bukua uchoke/
Ila hata uwe nani huwezi kujua vyote/
Nipe usikivu dadaa, nipe usikivu jamaa/
Hivi ushawahi kusikia kuhusu elimu ya mtaa/
Wapo watu hawajui kitabu kinafananaje/
Ila wana maujuzi maujanja ndo mahala pake/
Kushinda hata wasomi ma degree/
Elimu ya mtaa wali pass ma ged/
Na maarifa yao yanawasaidia kuishi/
Na maisha yao wana mafanikio kuzidi/
Sikukatishi sikukati stim/
Huenda njia zao zikawa marking scheme/
Kwako, kuwa humble kwa huyu yule hapa kule/
Chunga usiwe mjinga baada ya kuanza shule/
Fika mpaka chuo faulu na uvae joho/
Ila usiache kujifunza na usikatae bro/
Shule haiishii kiwango cha madaraja/
Na haiishii kwenye milango ya madarasa/
Yeah yeah
Elimu ni popote hujaelewa rudia tena/
Kuna wengine sheria wameijulia jela/
Credits
Writer(s): Adam Seleman
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Link
Other Album Tracks
© 2024 All rights reserved. Rockol.com S.r.l. Website image policy
Rockol
- Rockol only uses images and photos made available for promotional purposes (“for press use”) by record companies, artist managements and p.r. agencies.
- Said images are used to exert a right to report and a finality of the criticism, in a degraded mode compliant to copyright laws, and exclusively inclosed in our own informative content.
- Only non-exclusive images addressed to newspaper use and, in general, copyright-free are accepted.
- Live photos are published when licensed by photographers whose copyright is quoted.
- Rockol is available to pay the right holder a fair fee should a published image’s author be unknown at the time of publishing.
Feedback
Please immediately report the presence of images possibly not compliant with the above cases so as to quickly verify an improper use: where confirmed, we would immediately proceed to their removal.